Tatizo la kukataliwa na wasichana

Tatizo la kukataliwa na wasichana

ifudi 100% hauna hela
Tafuta hela na ukizipata kama kuna mwanamke atakukataa hapa duniani njoo kwa Gwajima utoe ushuhuda

Wanawake ni hela mpwa!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.

Sijui sababu ya kukataliwa mwishowe huwa naishia kupiga punyeto au kununua dada poa

Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.
Pole sana tupo wengi komaaa
 
Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.

Sijui sababu ya kukataliwa mwishowe huwa naishia kupiga punyeto au kununua dada poa

Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.
Tafuta hela
 
Ukikataliwa na mademu katika umri mdogo ni fursa sana ya kuweka mambo yako vizuri na kujihakikishia afya ya akili na mwili wako chukulia kama fursa kwako. Age mates wangu wengi waliokuwa ni viwembe wa mademu hatunao na wengine ni masikini kabisa. Usipokuwa makini sana ishu za mahusiano na mademu au wanawake hasa kingono ni hatari sana kwa afya na uhakika wa maisha yako ya kesho. Ila sio rahisi ukiwa katika hatua hiyo ni hadi upite
 
Back
Top Bottom