TONY LOVE
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 720
- 380
Hahaha...Ushajaribu matumizi ya Chapaa??? Huo ndio ulimbo wa kuwanasia, sura peleka Makumbusho.
Hahaha...Ushajaribu matumizi ya Chapaa??? Huo ndio ulimbo wa kuwanasia, sura peleka Makumbusho.
Kwa hiyo ananuka kikwapa, jibu nalo ni ndoa?
Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.
Sijui sababu ya kukataliwa mwishowe huwa naishia kupiga punyeto au kununua dada poa
Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.
Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.
Sijui sababu ya kukataliwa mwishowe huwa naishia kupiga punyeto au kununua dada poa
Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.
Knowledge + confidence + ambitions + mean stigity/swag/style(gear and character) = Any chick you want.
Huu ndio mdomo wa mwanaume anapotongoza, sijui kwanin hawaelewagi hawa watu.
Punyetto ndo mwake mwake kwa sisi wenye sura ngumu
Inawezekana hujui kutongoza, kama unaacha kunyoosha maelezo unaanza kumuuliza majina yake ya utoto hadi ya nyanya zake waliokufa, kwani wasikutoe balu??? hebu sema huwa unatongozaje???
Vyote hivi mtu mmoja awe navyo
Here boy......here.......