wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Weka konyagi Kwny chupa yako ya maji,then enjoy the ride.
Pole sana cha utundu, mimi sinaga hizo shida iwe kwenye usafiri wa aina yoyote nipo sawa...Mie nishakuwa sugu
Ila nina experience na hiyo shida…
Sahivi nikisafiri sikosi kinywaji chochote chenye sukari Karibu na mimi maana uwa sili njiani
Ni uzembe tu hakuna chochote... na kuhisi hisi vitu...
Kweli kabisaNi uzembe tu hakuna chochote...
Sikuwa na kiu lakini baada ya hali kuwa tete nilianguka maana nilikuwa nimesimama sikupata siti ya kukaa. Hivyo kuna mama mmoja Alikuwa amenunua Azam embe ile nzito yenye sukari akanipa ninywe,halafu akanipisha kwenye siti ili nipate upepo.Na soln uwa ni fresh air, maji na ukae kitako utulie kidogo..
Ulifeel kiu?
Kichwa kama ina run?
Joto linazidi mpk unapata wenge
Umetoka kwako mapema hujala chochote, safari nzima unashindia mahindi, vi juice na biskuti utaachaje kujisikia vibaya... maji hunywi...Kweli kabisa
Nilishaprove ni tumbo kuwa empty na mwili kupungukiwa maji.. hapo ni uzembe kabisa
🤣🤣🤣 nimekoma kushindia mahindiUmetoka kwako mapema hujala chochote, safari nzima unashindia mahindi, vi juice na biskuti utaachaje kujisikia vibaya... maji hunywi...
Beba hata chupa ya uji na mtori kama unaendea kumpelekea mgonjwa hospitali...🤣🤣🤣 nimekoma kushindia mahindi
Sasa si vitapoa hujafika hata Mombo 🤣🤣🤣Beba hata chupa ya uji na mtori kama unaendea kumpelekea mgonjwa hospitali...
Ila hapa kuna kitu kipya umeniongezea,nitakifanyia kaziKweli kabisa
Nilishaprove ni tumbo kuwa empty na mwili kupungukiwa maji.. hapo ni uzembe kabisa
Chupa haipozi, na hotpot ndogo haipozi...Sasa si vitapoa hujafika hata Mombo 🤣🤣🤣
Smart jamani🤣🤣🤣🤣Chupa haipozi, na hotpot ndogo haipozi...
Ila unaona bora ubebe chaji ya simu na kusumbua watu kwenye siti, ati kuna port ya kuchajia simu hapo kwako, with ana empty stomach...
Umeona eeIla hapa kuna kitu kipya umeniongezea,nitakifanyia kazi
Wewe una motion sickness, cha msingi kabla ya safari njoo hospital tukuchome sindano ya metroclopamide pia tukupe vidonge vya kutumia kama safari yako ni zaidi ya masaa nane. Motion sickness ni vile reaction ya matumbo baada ya mtikisiko wengine huharisha piaMimi napandanga gari na tangawizi na maji ila havisaiidii. Kutoka shekilango hadi kufika magu stand tayari nilikua nishatapika. Mimi kijachonitapikisha ni ile harufu ya gari na kiyoyozi, Azam Marine za zenji nishatapika sana yaani nikiona mawimbi naule myumbo wa boti
Nilishagundua mimi nina Phobia ya vyombo vya moto ndio maana yote haya hunipata. Sijawahi kuinjoi nikiwa safari, haua nawashangaa watu wanakula na kucheki muvi kabisa wakicheka ndani ya gari😂😂
Beba chochote cha kula cha utundu...Smart jamani🤣🤣🤣🤣
Unabebaje lkn thermos? Kwani nina mtoto mdogo?
Nabebaga ile chupa ya coffee, sema haitunzagi joto zaidi ya masaa ma5 ..
Ila suala la kuulizia port muhimu sana.. na siku hizi njia ya Kaskazini ina mabasi yenye free WiFi 😂🤸♂️
Ukiwa kwenye hali hiyo unakua na roho mbaya na chuki...Umeona ee
Tunakuwaga na njaa 🤣
Mtu umetoka nyumbani asubuhi
Umeenda umepiga misele weee
Hujala chakula cha kutosha na maji ukute hukunywa kabisa..
Lazima upate wenge
🤣🤣🤣 emu nisomee ulichoandikaUkiwa kwenye hali hiyo unakua na roho mbaya na chupi...
+/- ila ukiwa na njaa hali inaweza kuwa mbaya zaidi mtu unakuwa na dalili ya hypoglycemia na hypotension yaan sukari na presha chini, wengi husweti sana, kupata uoni hafifu (bluired vision), kulegea nk, solution kubwa nunua baby walker yako iwe na a/c na wewe ndio uwe dereva, ukiwa una drive daily huwezi sikia hizo tabu hasa wale wanaopata tabu kwenye daladala hasa kutokana na msongamano, mnaugua magonjwa ya KIMASKINI sana 😄😄😄😄😄