Tatizo la Kujisikia Vibaya Safarini

mzizi1

JF-Expert Member
Oct 9, 2017
255
692
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada, aisee mi niko na tatizo hili na ni kubwa sana kwa sasa.

Nikiwa na safari kwa njia ya basi au gari za kawaida, nakua na hali kama ya kuvurugwa hivi, nakua najisikia vibaya, kama ubongo unaelea hivi na mapigo ya moyo. Natamani tu gari lisimame.

Kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi, maana hata safari ya km 10 tu najisikia vibaya.

Naomba Naombeni msaada wakuu nahitaji hii hali inipoteee kabisa
 
Hali yako inajulikana kama "Motion Sickness"

Huwatokea baadhi ya watu na mara nyingi huwa ni kawaida.

Cha kufanya kama ulivyoshauriwa na jamaa hapo juu:
  • Kula lakini usile sana kabla ya safari kuanza.
  • Usiangalie nje, we just fumba macho inamisha kichwa kwenye siti ili uondoe ile feeling ya kuwepo kwenye safari.

Plus,

Kuna dawa zinasaidia kupunguza hilo tatizo, kama Scopolamine au maarufu kama Hyoscine, na baadhi ya dawa zengine zenye sedative effects kwa mfano dawa za mafua japo sina uhakika sana.

Ukifanya hivyo huenda tatizo lako likaisha.
 
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada, aisee mi niko na tatizo hili na ni kubwa sana kwa sasa.

Nikiwa na safari kwa njia ya basi au gari za kawaida, nakua na hali kama ya kuvurugwa hivi, nakua najisikia vibaya, kama ubongo unaelea hivi na mapigo ya moyo. Natamani tu gari lisimame.

Kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi, maana hata safari ya km 10 tu najisikia vibaya.

Naomba Naombeni msaada wakuu nahitaji hii hali inipoteee kabisa
Jaribu kupima Presha labda ukiwa mazingira hayo presha huongezeka
Au kama kwenye familia yenu kuna mtu anasumbuliwa na presha??
Au kama kuna tatizo la kifafa,(epilepsy)??
jaribu sana kujitib mwenyew kisaikolojia tatizo lilianziag wapi mwanzo kabisa?? Ukisema uende hospitall ni kweli kun dawa za kutuliz ubongo utajiisi ubongo umetulia tuli. Pia ushauri na nasaha .
 
Niliwahi kupitia hii changamoto na ilinitesa sana kiasi sikuwa nina-enjoy safari hata ya saa moja.

Nilianza kufanya yafuatayo
1.Nikiwa safarini ninakaa siti ya dirishani ili kupata upepo wa kutosha

2.Ninakuwa na maji ya kunywa ya kutosha.Kunywa maji mengi ilinisaidia

3.Kabla ya safari ninakunywa maji ya moto yenye tangawizi
 
Kama C
Yan alisumbua jamani
Hata safari ya Tegeta Mbagala kwake ilikuwa mzozo
Wengi harufu ya petrol au diesel zinawasumbua sana...

Ni kama vile wengine wanavyojisikia vibaya kusafiri na boti, shombo ya bahari...
 
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada, aisee mi niko na tatizo hili na ni kubwa sana kwa sasa.

Nikiwa na safari kwa njia ya basi au gari za kawaida, nakua na hali kama ya kuvurugwa hivi, nakua najisikia vibaya, kama ubongo unaelea hivi na mapigo ya moyo. Natamani tu gari lisimame.

Kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi, maana hata safari ya km 10 tu najisikia vibaya.

Naomba Naombmoi msaada wakuu nahitaji hii hali inipoteee kabisa
Nina tatizo kama lako, hii sio motion sickness kama mjumbe mmoja alivyosema hapo juu, hii hali hasa huchangiwa na uoga wa safari pia kuto kufanya safari mara kwa mara, solution ya kwanza uwe na usafiri wako mwenyewe yaani gari, ukishakuwa na gari jua utaliendesha daily safar fupi, za umbali wa kati na hata ndefu, ukiwa safarini ukajiskia vibaya kwanza park, shuka upate hewa kisha utaendelea na safari. Namna ya pili hakikisha huna njaa wakati wa safari, usile chakula kizito ila kiwe chepesi chenye nguvu na maji maji yenye sukari mf soda na hata redbul ila sio energy drink zingine, pia kama utalazimika kusafiri na basi la watu wengi basi book siti ya dirishani, wewe hutakiwi kukosa hewa, ikiwezekana panda luxury bus yenye watu wachache na a/c, ikitokea ukajiskia vibaya kunywa maji kidogo kidogo huku umefumba mambo na kujiegesha ukipata usingiz huwa ni nzuri zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom