Nyendeke
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 1,552
- 2,844
Mzee Kuchapiwa ni swala Mtambuka wala halina formula na wala hakuna Kipimo halisi cha Mwanamke kuridhika na tendo la Ndoa, pia unaweza fanya yote unayoona kwako ni ya Msingi na bado ukachapiwa vile vile..,Fikra hizi chakavu ndio zinazopelekea vilio vya wanaume kuchapiwa daily!Wanawake waleo ni tofaut na zamani,kwao mgegedo ndio kitu muhimu cha kwanza then sijui faraja nk vinafuata.MADEM WA LEO KWAO SEX NI ZAID YA NDOA ILA NDOA SI ZAIDI YA SEX MAMMAEE.
Sasa nakupa Changamoto moja kama unadhani hilo Gegedo ndo kila kitu kwenye Ndoa basi iwe hivyo then itokee umeyumba Kiuchumi, Hilo Gegedo utaliona Mzigo na Vijana watakuchapia kana kwamba Uliwatolea mahari wao!!!