Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 268
- 421
Habari wakuu,
Kama kichwa cha uzi kinavosomeka hapo juu, hili tatizo limeanza takribani miezi mitatu iliyopita.
Ilitokea tu siku moja wakati wa kufanya tendo la ndoa nikawa nahisi maumivu, ila niliendelea kwa kujua ni michubuko ya kawaida afu ukizingatia tunaaminiana na mke wangu sikuona shida.
Baada ya tendo ambalo lilidumu kwa muda mrefu kidogo, nilihisi maumivu flan kutokana na ule ute ute wa ukeni hivyo nikaenda kuoga na kuona michubuko inayoenekana(mikubwa kidogo) imetokea.
Baada ya kama siku mbili nikaangalia uume ukawa umepona yan kuna layer ya ngozi ngumu ilitokea iyo sehem iliyokua imechubuka, nikashiriki tendo la ndoa ila baada ya bao la kwanza nikahisi maumivu sababu uume ulikua umechubuka tena, ila niliendelea sababu ya hamu ya tendo mpaka bao tatu lakini wakati wote huo nilikua nahisi maumivu flani kutokana na joto la ukeni.
Kwaio kila baada ya kushiriki tendo la ndoa ikawa ivoivo. Tukakubariana na mke wangu tungoje kwa mda mrefu kidogo ili papone vizuri kabisa ndio tuje tufanye tendo la ndoa, cha ajabu tumekaa kama wiki tatu na uume ukawa unaonekana umepona kabisa sababu hadi ile layer ngumu ya ngozi inayotokeaga ikawa imetoka lakini baada ya bao la kwanza tu tena nikawa nahisi maumivu ya kuchubuka tena.
Naombeni ushauri wakuu nifanyaje sababu hili tatizo linanifanya nashindwa kabisa kulifurahia hili tendo takatifu na mke wangu kipenzi.
Kama kichwa cha uzi kinavosomeka hapo juu, hili tatizo limeanza takribani miezi mitatu iliyopita.
Ilitokea tu siku moja wakati wa kufanya tendo la ndoa nikawa nahisi maumivu, ila niliendelea kwa kujua ni michubuko ya kawaida afu ukizingatia tunaaminiana na mke wangu sikuona shida.
Baada ya tendo ambalo lilidumu kwa muda mrefu kidogo, nilihisi maumivu flan kutokana na ule ute ute wa ukeni hivyo nikaenda kuoga na kuona michubuko inayoenekana(mikubwa kidogo) imetokea.
Baada ya kama siku mbili nikaangalia uume ukawa umepona yan kuna layer ya ngozi ngumu ilitokea iyo sehem iliyokua imechubuka, nikashiriki tendo la ndoa ila baada ya bao la kwanza nikahisi maumivu sababu uume ulikua umechubuka tena, ila niliendelea sababu ya hamu ya tendo mpaka bao tatu lakini wakati wote huo nilikua nahisi maumivu flani kutokana na joto la ukeni.
Kwaio kila baada ya kushiriki tendo la ndoa ikawa ivoivo. Tukakubariana na mke wangu tungoje kwa mda mrefu kidogo ili papone vizuri kabisa ndio tuje tufanye tendo la ndoa, cha ajabu tumekaa kama wiki tatu na uume ukawa unaonekana umepona kabisa sababu hadi ile layer ngumu ya ngozi inayotokeaga ikawa imetoka lakini baada ya bao la kwanza tu tena nikawa nahisi maumivu ya kuchubuka tena.
Naombeni ushauri wakuu nifanyaje sababu hili tatizo linanifanya nashindwa kabisa kulifurahia hili tendo takatifu na mke wangu kipenzi.