grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,201
- 4,108
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu ninaombeni msaada wenu kwani hili tatizo linanisumbua mwaka wa tatu sasa nimetembelea hospitali wananiambia litaisha lenyewe ile nizingatie afya yangu kuanzia kula,kupumzika na pia nisiwe na stress ,ila katika vyote hivyo walivyoniambia sioni kama vimesaidia na pia mimi si mtu wa stress wakuu.
Yaani tatizo lilianza kama utani mwaka 2016 nikiwa na mpenzi wangu ambaye alikuja kutembelea ninapoishi sasa wakati wa ku sex nimetembea karibia lisaaa lakini sioni dalili za kufika mshindo mpaka ikabidi nimwache kwa kuwa alianza kulalamika namuumiza mwanzo niliona labda ni kawaida tu mwili saingine una change ila kuanzia hiyo 2016 mpaka sasa kikweli nimefika mshindo mara 2 tu tena zote hizo ni kwa kujichua.
Hivyo nimekuja hapa najua kuna watu labda mlishawahi kuwa na matatizo haya na vipi mlijitibu.
Asanteni na samahani kwa uandishi mbaya wakuu.
Yaani tatizo lilianza kama utani mwaka 2016 nikiwa na mpenzi wangu ambaye alikuja kutembelea ninapoishi sasa wakati wa ku sex nimetembea karibia lisaaa lakini sioni dalili za kufika mshindo mpaka ikabidi nimwache kwa kuwa alianza kulalamika namuumiza mwanzo niliona labda ni kawaida tu mwili saingine una change ila kuanzia hiyo 2016 mpaka sasa kikweli nimefika mshindo mara 2 tu tena zote hizo ni kwa kujichua.
Hivyo nimekuja hapa najua kuna watu labda mlishawahi kuwa na matatizo haya na vipi mlijitibu.
Asanteni na samahani kwa uandishi mbaya wakuu.