Kuna kawaida ya kusanikisha Windows kwa mazoea tu, yaani kubofya "Next" bila hata kuona machaguo mengine. Kuna uwezekano kibodi hiyo imetengenezwa maalumu kwa lugha tofauti na AmE.
Kwanza hakiki ya kibodi iliyopo. Halafu nenda "settings", "keyboard and language".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.