Tatizo la Keyboard kwenye Computer naomba msaada

Tatizo la Keyboard kwenye Computer naomba msaada

Jemsi

Senior Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
149
Reaction score
20
Natumai mu wazima wa afya.

Tatizo lipo kwenye keyboard ya PC Nikibonyeza H ina type Y, na pia nikibonyeza Y ina type Y na namba zingine pia zina jam.

H =Y
Y=Y
1=Q

Tatizo lipo wap wakubwa ?

Asanteni
 
natumai m wazima wa afya. tatizo lipo kwenye keyboard ya pc. nikibonyeza H ina type Y, na pia nikibonyeza Y ina type Y. na namba zingine pia zina jam.

H =Y
Y=Y
1=Q
tatizo lipo wap wakubwa? asanteni

Jaribu kuconnect external keyboard kwanza then press those fucking pads.. Kama ita do the same, then hell on your Software not hardware.
 
Kuna kawaida ya kusanikisha Windows kwa mazoea tu, yaani kubofya "Next" bila hata kuona machaguo mengine. Kuna uwezekano kibodi hiyo imetengenezwa maalumu kwa lugha tofauti na AmE.

Kwanza hakiki ya kibodi iliyopo. Halafu nenda "settings", "keyboard and language".
 
Back
Top Bottom