tz_gentleman
Member
- Feb 22, 2015
- 9
- 7
Kujua kama emmc ni nzima ama tayari ishakufa bonyeza bottons za pembeni yaani volume up na volume down kwa pamoja kisha bonyeza power usiachie hadi kwenye kioo paje rangi ya pink!
Hiyo rangi ya pink kama haitoki hiyo cm inapona ila kama inakuja na kutoka hapo tena cm ndo hamna.
True dat