Tatizo la huawei ku-restart, naomba msaada

Tatizo la huawei ku-restart, naomba msaada

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Waungwana samanini sana, kama kuna mtu alishawahi kukumbana na hali hii,au anakua nna ya kulotatua anishauri yeye alifanya nini au nifanyaje?

Nina simu tajwa hapo juu,(Huawei y 300,) ilianza yenyewe kuwaka na kisha kujizima na kila fundi ninaempelekea anadai hawezi kuitengeneza je ni kweli hizi simu hazitengenezeki?

Inakuwa kama inataka kuwaka then inajizima!, lakini nikichomeka kwenye chaji nikabonyeza kitufe cha kuwasha kwa mda mrefu inawaka na unaweza kuitumia kama kawaida, lakini ukithubutu kuitoa tu inaanza kamchezo kama kawaida.
 

Attachments

  • 1425109911065.jpg
    1425109911065.jpg
    19.4 KB · Views: 325
  • 1425109932839.jpg
    1425109932839.jpg
    20.7 KB · Views: 306
Punguza app ulizo download simu inazidiwa.
 
Nilishawah kuifrash,na nikiiweka kweny chaj, then nikashikilia ufunguo kwa mda mrfu inawaka then nikichomoa inazima tena,haina memory kadi na hata hzo app.ni zile ilitoka nazo lkn bado tatzo liko palepale.
 
Inapona isipokuwa tu ikiwa emmc imekufa! Ila kama haijafa mimi naiponyesha ndani ya dakika tano
 
Kujua kama emmc ni nzima ama tayari ishakufa bonyeza bottons za pembeni yaani volume up na volume down kwa pamoja kisha bonyeza power usiachie hadi kwenye kioo paje rangi ya pink!

Hiyo rangi ya pink kama haitoki hiyo cm inapona ila kama inakuja na kutoka hapo tena cm ndo hamna.
 
Download firmware ya y300 kisha weka kwenye sd card kisha update au extract firmware kisha erase na uflash.
 
Reboot hiyo simu, toa betri halafu rudishia, wakati unawasha bonyeza kitufe cha volume up pamoja na kitufe cha power kwa wakati mmoja, itakupa menu, kwenye hiyo menu chagua reboot.

Itawaka na haitazima tena ila baadhi ya app na setting zitatoweka.

Hiyo process inaitwa hard resert .
 
Hill ni tatizo la battery asikudanganye mtu badilisha battery uone hilo tatizo hata mimi limewahi nikumba kwa simu kama yako hiyo.
 
hill ni tatizo la battery asikudanganye mtu badilisha battery uone hilo tatizo hata mimi limewahi nikumba kwa simu kama yako hiyo.

Yani kati ya wote wewe ndio umetoa sababu isiyo ya kitaalam.
 
Kujua kama emmc ni nzima ama tayari ishakufa bonyeza bottons za pembeni yaani volume up na volume down kwa pamoja kisha bonyeza power usiachie hadi kwenye kioo paje rangi ya pink! Hiyo rangi ya pink kama haitoki hiyo cm inapona ila kama inakuja na kutoka hapo tena cm ndo hamna

Huwa nikibonyeza hivo inakuja hio rangi ya pink,na haitoki hadi nitoe betri,.kama waweza kuitengeneza nakupataje mkuu mi nipo hapa dar!?
 
Reboot hiyo simu, toa betri halafu rudishia, wakati unawasha bonyeza kitufe cha volume up pamoja na kitufe cha power kwa wakati mmoja, itakupa menu, kwenye hiyo menu chagua reboot, itawaka na haitazima tena ila baadhi ya app na setting zitatoweka. Hiyo process inaitwa hard resert .

Huwez kureboot kwan ukibonyeza batan ya kuongeza saut na ya kuwasha inakuja rang ya pink na haitoki hadi utowe betri
 
Waungwana samahanini sana, kama kuna mtu alishawahi kukumbana na hali hii anishauri yeye alifanya nini?

Nina simu tajwa hapo juu,(Huawei y 300,) ilianza yenyewe kuwaka na kmsha kujizima na kila fundi ninaempelekea anadai hawezi kotengeneza je ni kweli hizi simu hazitengenezeke?

Inakuwa kama inataka kuwaka then inajizima!

Rangi ya pinki huwa inajitokeza unapojarbu kureboot na haitoki hadi utoe betri.
 

Attachments

  • 1425126535064.jpg
    1425126535064.jpg
    13.3 KB · Views: 142
hill ni tatizo la battery asikudanganye mtu badilisha battery uone hilo tatizo hata mimi limewahi nikumba kwa simu kama yako hiyo.

Asante kwamchango lakini nilijarbu kubadili betri bado tatizo lipo tu!!
 
Kujua kama emmc ni nzima ama tayari ishakufa bonyeza bottons za pembeni yaani volume up na volume down kwa pamoja kisha bonyeza power usiachie hadi kwenye kioo paje rangi ya pink!

Hiyo rangi ya pink kama haitoki hiyo cm inapona ila kama inakuja na kutoka hapo tena cm ndo hamna.

View attachment 230570si kama hii mkuu,inajitokeza na haizimi hadi utoe betr
 
Jaribu ku reset

Daaa skulaum moderators wamekufanya unijibu hivyo,sjui kwanini wanaedit kiasi hiki,mim nimeandika kiswahili wao wanaandika kiswa-kingeleza daa,kweli wameamua!!!!
 
Hujaweka vizuri file la dload kwenye memory card ukiweka vizuri haitakuja hiyo screen ya pink.
 
Huawei sasa nazo zimeanza kuzingua,hasa Y-300.Yangu tatizo ni hilohilo,ikiflashiwa inaandika EMMC is Read only" Wanadai IC Imekufa,kama yupo fundi hapa tuwasiliane anisaidie kuiweka sawa Tafadhali.
 
Back
Top Bottom