yantuzu
Senior Member
- Dec 10, 2011
- 115
- 16
Naomba msaada kuhusu tatizo la huawei 300, kwa muda sasa simu hii nimeshindwa kuitumia maana ina-pop up notifications za "unfortunately, the process com.google.process.gapps has stopped", niki-press okey zinakuja notications kibao. ......googleplay store has stopped.., ...twitter has stopped.... n.k. haziishi, kiasi kwamba siwezi hata kuingia kwenye application yeyote maana kila sekunde nikubonyeza tu "ok".
Sasa wadau naomba mnisaidie nisolve hili tatizo maana haka ka simu kana vitu vyangu mhimu.
Sasa wadau naomba mnisaidie nisolve hili tatizo maana haka ka simu kana vitu vyangu mhimu.