Tatizo la form yangu ya mkopo !

mohammad_othar

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
247
Reaction score
42
Habarini wadau ! Naimani mpo poa na wazima wa afya , nlikuwa kati ya waombaji wa mkopo mwaka huu ujao wa masomo. Baada ya uhakiki leo nimepata list kwamba - APPLICANT IDENTIFICATION DOCUMENT iko invalid. Nlikuwa naomba kujua shida ni nini ? Na wanahitaji nini heslb as an identification document ?


Ahsanteni sana !
 
Document gani ni invalid? Tuanzie hapa ili tuweze kukusaidia
 
tatizo liko kwenye kitambulisho chako ulichokiweka, "IDENTITY CARD YAKO " ifanye uhakiki mahakamani, siyo ya mdhamini.
 
Ungeelezea hapa mkuu tupate kuelewa wengi
Hapo inahitajika nakala ya kitambulisho cha mdhamini wako uliemjaza kwenye fomu, hivyo chukua kitambulisho cha mdhamini wako (kitambulisho cha utaifa, mpiga kura, leseni na vingine vilivyoorodhesha kwenye fomu) kisha nenda katoe kopi pande zote mbili halafu peleka mahakamani hiyo nakala ya kitambulisho, itasainiwa kisha utarudi kuscan hivyo nakala kisha utaiaplodi sehemu husika.
 
tatizo liko kwenye kitambulisho chako ulichokiweka, "IDENTITY CARD YAKO " ifanye uhakiki mahakamani, siyo ya mdhamini.
Wanataka aina gani ya kitambulisho ? Ni upload cha NIDA ? na je ni scan photo copy au ?
 
Nimekuelewa mkuu ! Ahsante
 
Mimi nimeambiwa guarantor identification documents invalid
Hapo inahitajika nakala ya kitambulisho cha mdhamini wako uliemjaza kwenye fomu, hivyo chukua kitambulisho cha mdhamini wako (kitambulisho cha utaifa, mpiga kura, leseni na vingine vilivyoorodhesha kwenye fomu) kisha nenda katoe kopi pande zote mbili halafu peleka mahakamani hiyo nakala ya kitambulisho, itasainiwa kisha utarudi kuscan hivyo nakala kisha utaiaplodi sehemu husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…