PetterIsuti
Senior Member
- Nov 29, 2014
- 118
- 28
Habari zenu wana jukwaa, i hope mko poa.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi anisaidie.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi anisaidie.