Tatizo la camera kwenye Tecno H6

Tatizo la camera kwenye Tecno H6

PetterIsuti

Senior Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
118
Reaction score
28
Habari zenu wana jukwaa, i hope mko poa.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi anisaidie.
 
Habari zenu wana jukwaa, i hope mko poa.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi anisaidie.

Tupa hiyo simu itakulipukia
 
Jaribu hii njia ..Nenda settings..then Apps then itafute app ya Camera...then iclick..then Click clear cache...then zima na kuwasha simu kama bado tatzo lipo..fuata hizo hatua za juu but utaclick clear data..then utarestart simu..hope yaweza saidia.
 
Naanza kuamini kuwa tecno ni simu mbovu nilijua ni mimi tu ninatatizo kumbe tuko wengi mimi ndio ilinigomea kabisa mpaka leo Camera haifanyi kazi.
 
Hiyo siyo setting kabisa,hizo simu znatatzo la camera kuchomoka kwenye connection yake hasa ikianguka,so solution ni kufungua simu na kuirudisha sehemu yake husika mambo yanakuwa shwari...
Note:Usiifungue ww kama huna uzoefu wowote kwenye hardware hizo simu ukienda kichwa kichwa utakata switch za volume na swtch off,tafuta fundi mzoefu na ukishindwa nitafute miye
 
Habari zenu wana jukwaa, i hope mko poa.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi anisaidie.

Camera imechomoka kwenye connection yake,tafuta fundi mzoefu ataifungua simu na kuiconnect hiyo camera,tatzo litaisha tu maana nimekutana nazo nyingi sana
 
Camera imechomoka kwenye connection yake,tafuta fundi mzoefu ataifungua simu na kuiconnect hiyo camera,tatzo litaisha tu maana nimekutana nazo nyingi sana

UKO sahihi mkuu.. Camera hua inasogea kidogo.. Kuna mmoja nilishamuona na inshu Kama hiyo alipoenda kwa fundi alifungua na kuiweka sehemu yake.. Ukizingatia H6 camera iko pembeni sana.
 
Back
Top Bottom