habari zenu! naombeni msaada wenu kwa hili tatizo...me ni mdada mwenye umri wa miaka 26 niko nyumbani badoc jafanikiwa kupata kazi! nimekuwa msahaulifu kupita maelezo! na nimekuwa nikipoteza kukumbukumbu! laiti ningelikuwa shuleni mpaka sasa basi cngeweza hata kukremisha sentensi moja! mda mwingine kizunguzungu,mishipa ya kichwa inaniuma! nakuwa sometimes cjielewi hata nn nafanya! nkilala c mchana c usiku mda wowote nakuwa naota ndoto nyingi mno zsizoeleweka,nyingine znaeleweka! nkiamka nakuwa nimechoka sana! kulala kwangu c kujipumzisha bali ni kuongeza machovu! nisaidieni jamani nfanye nini? ahsanteni
Una kila dalili za Anxiety/depression, jitathmini uelewe chanzo cha depression yako halafu u deal nayo.
Pia haya yanaweza kukusaidia.
Talking therapy: tafuta marafiki ambao hawana maudhi uongee nao sana na tafuta mtu mwaminifu umuongelee kinachokusibu
Exercise : mazoezi ni muhimu sana kwenye kukabiliana na depression
Hobbies : Pendelea sana kufanya kitu ambacho unapenda the most e.g kuogelea n.k
Imani: Kama ni mtu wa Mungu jaribu kuwa karibu na Mungu wako kwa maombi
Natural treatment: Tumia herbal tea ya mchaichai kabla kulala inasaidia sana
Psychic: unaweza ukaonana na mtaalamu akakusaidia.
hehehe kama unashabikia chelsea pia inachangia depression sana (kidding)
ki ukweli dada angu dawa yako ni rahisi sana anza kutombana mfululizo kwa wiki 1 kichwa kitakuwa sawa tena utakuwa na kumbukubu zaidi ya computer hiyo ndo dawa ya ukweli achana na hao madoctor kila mmoja analake hawana jipya we umemiss dudu jaribu leo upande kileleni hata mara 4 utaniambia