Nikimfukuza atakuwa exile tu na sina mpango wa kuona tena kwa sababu ninyi wanawake woote mna vitabia vya aina moja hata kama mmesoma mna behave kama mwanamke yeyote wa kijijini. Tena ladies wengine wa vijijini ni waelewa kuliko wa mjini. hao wanaume wanasema nimeoa lulu ni wale wanaopenda dezo za kupewa pewa na wanawake fuatilia hawana reason nyingine. Kuwa mvumilivu niko sana na ndo maana nimekaa naye kwa miaka 12. Jestina please nitendee haki
<br />Itafika mahali huu mjadala tutaamua kwa kura kwa sababu nataka kuwa very democratic kwani nimepost hii mada kuomba ushauri na kuna ushauri mwingi mzuri umetolewa na GT na wengi wamekuwa neutral kutoa wazo la kusaidia. Mimi siyo control freak na wife anafanya kazi na safari ni nyingi na kuna freedom kubwa sana kwetu ila ktk ndoa inakuwa raha kila mtu anapochagua majukumu yake akayafanya na si kuachia upande mmoja. Mtu kusema hivyo haimaanishi ni control freak kwani lengo la jumla ni kuleta maendeleo ya familia . Kama upande mmoja hautawajibika sawasawa si rahisi kufikia malengo ya kifamilia.
....dahhh, sasa mwana kwetu, iwapo umejithibitishia kwa msitari huo niliou highlight kwa wekundu, iweje leo hii unataka mkeo awe tofauti bana? ....
ni mambo madogo madogo tu ya kukubaliana nayo kwamba hakuna mkamilifu duniani, na mkeo is no exceptional.
pale kwenye mapungufu yake unatakiwa wewe ukamilishe huo upungufu bana. ndio maana pakasemwa ni bora kumuoa
imperfect partner ili kukamilisha a perfect couple, si ndio bana?
ni mambo madogo madogo tu ya kukumbushana na kukubaliana. hizo kero za mkeo ni mfano wa kivuli tu,...
usitishike kwa ukubwa wa kivuli nawe ukakikuzaaaa....
relax bana....hakuna mkamilifu, by the way, i admire mkeo anavyokuchangamsha akili,....
pamoja na usomi wote, unashindwa kumuelewa? imagine wale jamaa omba omba wa mitaani unawaona na wake zao
[mzee matonya],...unadhani hawana matatizo yao ya ndani?
....dahhh, sasa mwana kwetu, iwapo umejithibitishia kwa msitari huo niliou highlight kwa wekundu, iweje leo hii unataka mkeo awe tofauti bana? ....
ni mambo madogo madogo tu ya kukubaliana nayo kwamba hakuna mkamilifu duniani, na mkeo is no exceptional.
pale kwenye mapungufu yake unatakiwa wewe ukamilishe huo upungufu bana. ndio maana pakasemwa ni bora kumuoa
imperfect partner ili kukamilisha a perfect couple, si ndio bana?
ni mambo madogo madogo tu ya kukumbushana na kukubaliana. hizo kero za mkeo ni mfano wa kivuli tu,...
usitishike kwa ukubwa wa kivuli nawe ukakikuzaaaa....
relax bana....hakuna mkamilifu, by the way, i admire mkeo anavyokuchangamsha akili,....
pamoja na usomi wote, unashindwa kumuelewa? imagine wale jamaa omba omba wa mitaani unawaona na wake zao
[mzee matonya],...unadhani hawana matatizo yao ya ndani?
kuna boss wangu mmoja alikufa,kila mtu akasema hatimae mkewe 'ameushusha msalaba'
duniani kuna watu....nimekumbuka hiyo aisee..
<br />king'asti una mawe makali sana<br />
<br />
but anyway, i once said... i respect you lot
Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
<br />this is not a good thread, it is too personal
<br />Kama una house girl jiliwaze akishtuka atajifunza, au tafuta kimeo kingne weka ndani
mtm,thanks for respecting me,i am so humbled! huyu bwana ham-treat mkewe kama mke. mke ni msaidizi na mfariji,where she is weak u ar supposed to be strong. same as where a man is weak a wife gotta be strong ili jahazi liende. ukiwa na mke akakeep record of ur agreement kua urudi home saa nne na mnasainishana,kuna ndoa hapo? ama it is a business agreement? sasa anasema tuamue kwa kura.can u make a vote over ur marriage? ningekua mkewe ningejiskia commodity kweli! sorry mtm,much rezpect right back to u.
<br />
<br />
is this your wife really??
Mbona unamdhalilisha mbele za watu?
Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
<br />Mnaochangia mmeoa au mnachangia tu kwa uzoefu wa kusoma kwenye vitabu vya udaku.? Kuanzia wadhamini nimewaeleza na walishachoka kumweleza na wakasema hatuwezi kuongea na sikio la kufa. wazazi wake walishamwambia na kumwonya na kumfunda mara ya pili na wakaniomba nirudi kukaa naye akileta shida niwaambie tena . Hii ndo ni mojawapo ya sababu kuwa hathubutu kabisa kwenda kwao nikimfukuza. NINGEKUWA MI NINA MATATIZO HAWA MASHAHIDI WOTE INCLUDING WAZAZI WAKE TENA WENYE UWEZO WASINGEMWONYA NA KUMWEKA KIKAO.
a wife of noble character who can find? She is worth far more than rubies
proverb 31; 10-31
...dahhh, e bana wee...umebahatika mke mzuri kuliko wanawake asilimia 99% wa kisasa.
hutajua thamani ya mtu uliyenaye mpaka siku utapomkosa.
usituringishie bana, dahhh...mpaka macozi yananitoka ulivyobahatika kupata mke wa aina hiyo bana,
hongera sana...mbu naadhirika hapa kwa uchungu wa haya niyasomayo..
mtm,thanks for respecting me,i am so humbled! huyu bwana ham-treat mkewe kama mke. mke ni msaidizi na mfariji,where she is weak u ar supposed to be strong. same as where a man is weak a wife gotta be strong ili jahazi liende. ukiwa na mke akakeep record of ur agreement kua urudi home saa nne na mnasainishana,kuna ndoa hapo? ama it is a business agreement? sasa anasema tuamue kwa kura.can u make a vote over ur marriage? ningekua mkewe ningejiskia commodity kweli! sorry mtm,much rezpect right back to u.
<br />
<br />
a wife of noble character who can find? She is worth far more than rubies
proverb 31; 10-31
...dahhh, e bana wee...umebahatika mke mzuri kuliko wanawake asilimia 99% wa kisasa.
hutajua thamani ya mtu uliyenaye mpaka siku utapomkosa.
usituringishie bana, dahhh...mpaka machozi yananitoka ulivyobahatika kupata mke wa aina hiyo bana,
hongera sana...mbu naadhirika hapa kwa uchungu wa haya niyasomayo..
mtm,thanks for respecting me,i am so humbled! huyu bwana ham-treat mkewe kama mke. mke ni msaidizi na mfariji,where she is weak u ar supposed to be strong. same as where a man is weak a wife gotta be strong ili jahazi liende. ukiwa na mke akakeep record of ur agreement kua urudi home saa nne na mnasainishana,kuna ndoa hapo? ama it is a business agreement? sasa anasema tuamue kwa kura.can u make a vote over ur marriage? ningekua mkewe ningejiskia commodity kweli! sorry mtm,much rezpect right back to u.
<br />
<br />
Nina learn hapa kitu kwamba akina mama mna silika ya kutetea wenzenu.