Tatizo baada Ku root HUAWEI Y330

Tatizo baada Ku root HUAWEI Y330

Mzenjibar

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
229
Reaction score
298
Naomba kusaidiwa kutatua tatizo la simu yangu baada ya Ku root niliweza kufuta baadhi ya file za simu.

Hivyo nimeshindwa kuingia play store na kuonesha ujumbe kwamba unfortunately Google play services has stopped.
 

Attachments

  • Screenshot_2015-11-11-12-36-04.jpeg
    Screenshot_2015-11-11-12-36-04.jpeg
    13.3 KB · Views: 265
  • Screenshot_2015-11-11-12-53-20.jpeg
    Screenshot_2015-11-11-12-53-20.jpeg
    29.3 KB · Views: 264
  • Screenshot_2015-11-11-12-53-46.jpeg
    Screenshot_2015-11-11-12-53-46.jpeg
    10.4 KB · Views: 263
HujaitoA hio playservice? Maana hio ndio app mama, app zote za google zinarun juu yake
 
jaribu ku-Install Modded Google Play. baada ya kufanya hivo i hope problem will be solved.
 
Kwanza make sure una internet alafu nenda Google then download play store alfu sighne in with your Google account
 
nenda google instal google play services au download aptoid apps zen download google play sevices afu nenda kweny apps manager nenda kwenye play store clear data zima simu run tena
 
nenda google instal google play services au download aptoid apps zen download google play sevices afu nenda kweny apps manager nenda kwenye play store clear data zima simu run tena
Dah hata hiyo google play services haipo mkuu w pia nimejaribu kudownload kupitia device nyingine lakini inagoma pia kama inavyo onesha hapa kwenye screenshot,,
 
Dah hata hiyo google play services haipo mkuu w pia nimejaribu kudownload kupitia device nyingine lakini inagoma pia kama inavyo onesha hapa kwenye screenshot,,
Unroot simu yako kwa hiyohiyo kingroot baada ya kuunroot ingia website za huawei download official rom za huawei y330 then ukisha download unzip hilo file la rom.. Liingize kwa sd card ya simu yako iwe kuanzia 4gb ingia system update then update from sd card..usihangaike simu yako umeremove google play kutoka ktk rom ni vigumu kuirudisha kwa kuinstal kama app za kawaida kwa mediatek device... By kisauti matelephone.
 
Back
Top Bottom