Ambassador_
Member
- Nov 27, 2020
- 26
- 49
Hata hujapumzika mkuu, na nyumbani umefika kweli ??Hatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe unaweza kuingia chaka.
Muda pia ulikuwa mwingi mno kutokana na aina ya maswali yaliyokuwepo,maswali mengi yalikuwa ni ya lugha tu (uelewa wa lugha ya kiingereza)na hesabu chache mno,maswali 45 masaa mawili,
Hofu yangu kutokana wepesi wa mtihani Panga lake sijui litakuwaje...
Let's wait n see...
Reporting live from Dodoma..
Hongera sana mkuu.Hatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe unaweza kuingia chaka.
Muda pia ulikuwa mwingi mno kutokana na aina ya maswali yaliyokuwepo,maswali mengi yalikuwa ni ya lugha tu (uelewa wa lugha ya kiingereza)na hesabu chache mno,maswali 45 masaa mawili,
Hofu yangu kutokana wepesi wa mtihani Panga lake sijui litakuwaje...
Let's wait n see...
Reporting live from Dodoma..
Kwakweli hii asali ni muhimu mkuuHongera sana mkuu.
Nilipokea wageni 2 kuja kufanya hiyo pepa, na sasa washaamsha kurudi mjini Daslam.
Mungu awatangulie muweze kuilamba Asali ya PCCB
Duniani hakuna kupumzika mkuu ni mchakamchaka tuHata hujapumzika mkuu, na nyumbani umefika kweli ??
Kila la kheri,uwepesi ni maonono sio ukweli kwa kila mtu.
😅😅😅 Wenye post zao wanajulikama tayari Asante kwa kushiriki🙏Hatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe unaweza kuingia chaka.
Muda pia ulikuwa mwingi mno kutokana na aina ya maswali yaliyokuwepo,maswali mengi yalikuwa ni ya lugha tu (uelewa wa lugha ya kiingereza)na hesabu chache mno,maswali 45 masaa mawili,
Hofu yangu kutokana wepesi wa mtihani Panga lake sijui litakuwaje...
Let's wait n see...
Reporting live from Dodoma..
😅😅😅Hapo anahema hatari,maza atawaua hawa vijana atoe ajira za kutosha walah Africa hakuna Cha kujiaijiri wote familia duni tuHata hujapumzika mkuu, na nyumbani umefika kweli ??
Kila la kheri,uwepesi ni maonono sio ukweli kwa kila mtu.
Ya Mwaka huu hukuapply au umri umekutupa mkonoNilifanyaga ile ya mwaka juz nilionaga nyepesi sana ila ilinikanda mungu akutangulie
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Niliamini ntatoboa TRAYa Mwaka huu hukuapply au umri umekutupa mkono
Pole sana mkuu I feel your pain but mambo yatakua poa tu
Tulikuwa wote ile mkuu. Sitakaa niisahau ile. Nami nikawekwa pembeni, sikulamba Asali.Nilifanyaga ile ya mwaka juz nilionaga nyepesi sana ila ilinikanda mungu akutangulie
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwan huwa wanatoa baaada ya siku ngap vile.. Pls nisaidie kujibuHatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe unaweza kuingia chaka.
Muda pia ulikuwa mwingi mno kutokana na aina ya maswali yaliyokuwepo,maswali mengi yalikuwa ni ya lugha tu (uelewa wa lugha ya kiingereza)na hesabu chache mno,maswali 45 masaa mawili,
Hofu yangu kutokana wepesi wa mtihani Panga lake sijui litakuwaje...
Let's wait n see...
Reporting live from Dodoma..
Usiache kuapply nafasi zinazokuja mbele yako hadi utakapopata barua ya kuitwa kazini
Haijulikani japo haitochukua mudaKwan huwa wanatoa baaada ya siku ngap vile.. Pls nisaidie kujibu
Je angalau week moja?Haijulikani japo haitochukua muda