Tathmini: Lowassa amemfunika Dr. Slaa

Binafsi naomba kutofautiana nawewe ktk hoja zifuatazo: 1, 2010 chadema ilisimama peke yake na ikapata 26% lakin mwaka huu vyama zaid ya vi4 vmeungana, hii ina maana kuwa kama wangeunganisha nguvu wangepata zaid ya 30% 2. mwamko wa watu kipindi kile haukuwa mkubwa sana na cyo watu wengi waliopga kura. 3; dr.slaa alipambana na rais anayetetea kiti chake tofauti na sasa ambapo wote ni wapya. 4.katika kipnd hki cha miaka mi5 dr.slaa alikijenga chama kwa nguvu nyingi na machoz. na ndo ktka kipindi hk ambapo masakata mengi ya kifisadi yaliibuliwa hvyo kuwazdishia hasira wananchi kuapa kuitoa ccm madarakan kptia sanduku la kura. 5.CHADEMA inaungwa mkono sana na vijana ambapo wengi wao mwaka 201 hawakupga kura kwa sababu kwanza, mwamko wao ulikuwa mdogo, wengi walikuwa hawajafikisha umri wa kupga kura .6.kuna watu wengi ambao mara baada ya mpambanaji dhd ya ufisad ambalo ndo tatizo sugu tanzania dr.slaa kuondolewa, walikata tamaa kuipgia kura tena kwn waliona usanih kuungana na mtuhumiwa no.1
 

Na hapa watabaki wanalaumu tu huku CCM Wakijipanga.Kumbuka CCM ya Kikwete sijui kama itakuwa kama CCM ya MAGUFULI
 
Hata asingeuwepo Lowasa kuna majimbo alikuwa yanondoka kwa Mfano Mtwara Mjini na mkumbuke wakati huu kuna majimbo mapya na wapiga kura wapya pia. Ukienda between lines mtoa hoja hauko sawa.

Matiko tarime kuihitaji Lowasa, Bulaya na kibamba. Hao unao linganisha ni pipa na funiko tu zadi CCM ndio imekuwa kwa kupata wapiga kura wengi nje ya wanachama wao kufika 8.9M sio mchezo ni ongezeko kubwa sana.
 
Lowassa Edward Jones is the most part I have been in a while to respond from the same thing with my friends are in a while to respond from the same thing with my friends are in
 

Nakubaliana na wewe asilimia 200, Lowassa amepata backup ya Ukawa na mabilioni ya kwake binafsi wakati Dr.Slaa alipeperusha bendera ya CDM na kutangaza sera ya chama.
 
Mzee naomba ufafanuzi kuhusu utaratibu wa kupata viti maalum.Kigezo ni kipi, ni idadi ya wabunge wa kuchaguliwa ama kura za urais?

78.-(1) For the purposes of the election of women Members of Parliament
mentioned in Article 66(1) (b), political parties which took part in the general
election in accordance with the procedure laid down and obtained at least five
percentum of the total valid voters for Parliamentary election, shall propose to the
Electoral Commission the names of women on the basis of the proportion of votes
obtained by each party in the Parliamentary election.
(2) Notwithstanding the provisions of subarticle (1), the following votes
shall be counted as valid votes for the unopposed Member of Parliament in the
constituent -
(a) where a political party has nominated a Presidential candidate,
presidential votes cast in the constituency for a Presidential
candidate from that political party;
(b) where a political party has not nominated a presidential candidate,
fifty one percentum of the votes of the total voters registered in the
respective constituency.
(3) The names of the persons proposed to the Electoral Commission in
accordance with subarticle (1) shall be declared to be the results of the election
after the Commission is satisfied that the relevant provisions of the Constitution
and of other legislation have been complied with.
(4) The list of names for women candidates submitted to the Electoral
Commission by each political party for general election shall be the list to be
applied by the Election Commission after consultation of the party concerned, for
purpose of filling any vacancy of Members of Parliament of this category
whenever during the life of Parliament.
 

Pamoja na hayo ufahamu vile vile dr slaa hangeweza kupatia ukawa ushindi huu. Kampeni za mwaka huu fedha zilitumika sana na nafasi ya lowasa kifedha imeisaidia sana ukawa.
 

Mkuu kumbuka lowwasa aliingia akiwa na mtaji wa kura za lowassa26% na kura za lipumba12% hizo ndio kura walizopata ukawa 2010 sasa tathimini yako ianzie hapo lowassa ameongeza % ngapi je hizo % zinatija kiasi cha kumtupa dr na kubadilisha gea juu kwa juu na swali la kujiuliza kama dr na lipumba wangekuwepo na kundelea kuisimamia misingi walioijenga je ukawa wasingepata kura nyingi zaidi ya hizo? Na sasa lowassa ameshashindwa Urais je ule mshikamano wa wana ukawa utaendelea kuwepo na ile sologan ya chadema ya kupinga ufisadi itarejea baada ya kufa kifo cha mende pindi lowassa alipochaguliwa kuwa mgombea wa Urais kupitia Ukawa?
 

Mkuu, kwani mgawanyo wa viti maalum unategemea uwiano wa kura za wagombea Urais au uwiano wa wabunge kwenye majimbo kwa kila chama? Msaada tafadhali.
 
sawa mkuu ila hatukushindwa katika box la kura tumeshindwa na ubabe wa jk &co.

Mbowe alifikiri waTz ni wajinga, lakini waTz wamemjibu mbowe kupitia sanduku la kura, nafikiri siku nyingine hatarudia upuuzi kama huu. Upumbavu kama huu wanaweza kuupokea ni akina kingunge, mwapachu na mr. ziro na kampuni zao, wenye akili tulishtuka toka mwanzo
 
hivi ulikuwa mpambano wa lowassa na slaa? au lowassa ashike nchi??

mfa maji bana
 
Wakati ule haukuwa muungano kama sasa, na wakati ule wapiga kura hawakuwa wengi kama mara hii, mara hii wamekuwa mara 2 ya 2010, kama unatazama hivyo Hata magufuli kapata kura nyingi zaid ya kikwete 2010
Angalia uwiano wa kura, siyo idadi ya kura...maana yake linganisha 26.34% za Slaa dhidi ya 39.97% za Lowassa.
 
Wakati ule haukuwa muungano kama sasa, na wakati ule wapiga kura hawakuwa wengi kama mara hii, mara hii wamekuwa mara 2 ya 2010, kama unatazama hivyo Hata magufuli kapata kura nyingi zaid ya kikwete 2010
<br>
Angalia uwiano wa kura, siyo idadi ya kura...maana yake linganisha 26.34% za Slaa dhidi ya 39.97% za Lowassa.
 
<br>
Angalia uwiano wa kura, siyo idadi ya kura...maana yake linganisha 26.34% za Slaa dhidi ya 39.97% za Lowassa.

Dr Slaa alisimama peke yake kwa chadema, Lowassa kasimama na vyama vinne
 

pAMOJA NA MAANDISHI MAKUBWA, SIASA BILA FEDHA HUNA CHAKO SISIEM WANASHINDA KWA SABABU YA FEDHA, WANA UWEZO WA KUNUNUA WAGOMBEA NA MAWAKALA.TAFAKARI UPYA NDUGU
 
Nakubaliana na wewe asilimia 200, Lowassa amepata backup ya Ukawa na mabilioni ya kwake binafsi wakati Dr.Slaa alipeperusha bendera ya CDM na kutangaza sera ya chama.

Tena uteuzi wake ulikuwa ghafla tu baada ya KAPI LA CCM Sitta Kugoma kutokea.
 
Pamoja na hayo ufahamu vile vile dr slaa hangeweza kupatia ukawa ushindi huu. Kampeni za mwaka huu fedha zilitumika sana na nafasi ya lowasa kifedha imeisaidia sana ukawa.
Please! Chadema haijaanza kujulikana baada ya Lowassa kulipa ile application/entrance fee ya 12bn! Dr Slaa amefanya chama kijulikane toka 2010 na zile Operesheni Sangara etc..watu wakakielewa ipasavyo...leo unakuja hapa kusema Lowassa ndo ametangaza chama..pls
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba effect ya kura hizo ni additive? kama ndio lengo lako, tuambie wale WAPENZI na MASHABIKI wa LIPUMBA walimpigia kura nani wakati inasadikiwa kuwa Lpumba ameondoka UKAWA kwa sababu ya kutoridhishwa na mwenendo wa mambo...Hauoni kwamba kura nyingi za Lipumba zilielekezwa CCM na si Chadema, kwa mtazamo huo ulionao? Huoni kwamba wapo wengine walimpigia kura Magufuli kwa sababuu tu wameumizwa na kitendo cha Dr. Slaa na Lipumba "kufukuzwa" na vyama vyao? na bado Lowassa amepata almost 40%, kwa sababu watu wanampenda na wapo pia watu ambao wanapenda sera mbadala za UKAWA. Usihamishe kura za mwaka 2010 ukaleta 2015, maana theoretically, baadhi ya kura za Lipumba na Dr. Slaa zimeenda CCM na ACT mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…