Kwa tathmini yakinifu, mwaka 1995 upinzani uligawanyika sana na hukuwa na mipango yeyote ya maana. Hata hivyo upinzani ulipata kura za urais asilimia 40%. Mwaka 2010 upinzani pia ulikuwa dhaifu na hawakuwa wamejipanga vema. Hii kasi ya CHADEMA mnayoiona imeanza baada ya uchaguzi wa 2010.
Hata hivyo upinzani ulipata 40%. Je, kwa kazi yote iliyofanywa kujenga upinzani mashinani, muungano wa vyama na Lowassa factor, hawataweza kuzima pengo la kama 15%?
Mimi naona wataziba na hapo ndipo tathmini ya mtu kukaa mezani tu bila hata kwenda field itaonyesha wazi kuwa upinzani utashinda kwa kishindo.
Ila kwa Ubunge nina mashaka kama upinzani unaweza kupata 50%+ ya viti vya Ubunge.
Hata hivyo upinzani ulipata 40%. Je, kwa kazi yote iliyofanywa kujenga upinzani mashinani, muungano wa vyama na Lowassa factor, hawataweza kuzima pengo la kama 15%?
Mimi naona wataziba na hapo ndipo tathmini ya mtu kukaa mezani tu bila hata kwenda field itaonyesha wazi kuwa upinzani utashinda kwa kishindo.
Ila kwa Ubunge nina mashaka kama upinzani unaweza kupata 50%+ ya viti vya Ubunge.