O
Goli la mkono mwisho 2015...
2020 tutaingia barabarani mpaka Mgombea tunayemtaka atangazwe na tume.......
Hatuna cha kupoteza sasa......
Ninyi mang'ombe mnaweza kumpinga mtu yytO
Goli la mkono mwisho 2015...
2020 tutaingia barabarani mpaka Mgombea tunayemtaka atangazwe na tume.......
Hatuna cha kupoteza sasa......
Na kama huyo mnaemtaka atashindwa kihalali bado mtaingia mtaani?O
Goli la mkono mwisho 2015...
2020 tutaingia barabarani mpaka Mgombea tunayemtaka atangazwe na tume.......
Hatuna cha kupoteza sasa......
Ng'ombe mama ako wewe ndama jikeNinyi mang'ombe mnaweza kumpinga mtu yyt
Coward's ninyi
Hana uwezo wa kushinda uchaguzi Jiwe
Umeshasema ya Mange.....Hivi yale maandamano ya mange mliingia barabarani au mliogopa kupata taabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni tusi kwa wapenda manadiliko wa kweli. Nafahamu kabisa kuwa mnategemea sana uoga wa Watanzania. Lakini hamjui kuwa imeshatokea mara nyingi tu kuwa viongozi hao wa upinzani waliamuwa kuwatuliza! Kwa taarifa yako, Lowassa siyo wa kwanza. Nadhani hamjui moto atakaouwasha Tundu Lissu ndiyo maana mnaamini itakuwa business as usual. Nawapeni tu tahadhari.Hivi yale maandamano ya mange mliingia barabarani au mliogopa kupata taabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama garama itakua miguu yako?Umeshasema ya Mange.....
Haya n ya Tundu Lissu Rais ajaye 2020......
Lazima tuingie barabarani kwa garama yeyote
huu ni ukweli mchungu sanaHana uwezo wa kushinda uchaguzi Jiwe
Not only them !! This includes UNinyi mang'ombe mnaweza kumpinga mtu yyt
Coward's ninyi
Je ni kwa faida ya taifa ?!.Makaratasi mengi ya kura yatachapishwa, kupita namba ya waliojitokeza kupiga kura
Watanzania watapata kipigo cha mbwa koko...Watanzania watapata taabu saana
Well said mkuu! Nilishangazwa sana hata mimi kuhusu upinzani kutokudai tume huru na kushiriki uchaguzi! Labda wana plan BAli Hassan Mwinyi alisema, "watanzania/ Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu".
Kauli hii aliitoa wakati huo Timuya Taifa ya soka inapokea mkong'oto.
Bila ya Tume huru na Katiba mpya itakayoondoa kutohojiwa kwa matokeo ya kura za urais mahakamani na kuondoa kinga ya kutokuburuzwa mahakamani kwa Rais. Mgombea wa CCM ataendelea kutangazwa mshindi hata pale kura zisipotosha kumpatia nafasi ya urais. Mfano hai ni ule uchafu wa kumsimika Shein, mgombea wa CCM baada ya kupigwa chini kupitia kisanduku cha kura na goli la mkono la Nape lilimsukumiza mtu aliye-beep tu.
Karibuni nilimsikia Waziri mpya wa sheria akijisifu kwamba amesaidia kutengeneza katiba za mataifa matano. Kuna usanii utaanzishwa karibuni kama ile pipi ya Kikwete ya "Katiba mpya/ tume ya Warioba".
Wapinzani bado hawajaamua kudai tume huru ya uchaguzi, wacha tu CCM iendelee kufanya ujinga wa kuwafanya watanzania wajinga.
Hiyo sentenso ya kwanza imenikumbusha kauli ya The Boss kuhusu watanzania kumshukuru rais baada ya lile tukio la kupatwa kwa jua!🤦🏾♂️Ali Hassan Mwinyi alisema, "watanzania/ Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu".
Kauli hii aliitoa wakati huo Timuya Taifa ya soka inapokea mkong'oto.
Bila ya Tume huru na Katiba mpya itakayoondoa kutohojiwa kwa matokeo ya kura za urais mahakamani na kuondoa kinga ya kutokuburuzwa mahakamani kwa Rais. Mgombea wa CCM ataendelea kutangazwa mshindi hata pale kura zisipotosha kumpatia nafasi ya urais. Mfano hai ni ule uchafu wa kumsimika Shein, mgombea wa CCM baada ya kupigwa chini kupitia kisanduku cha kura na goli la mkono la Nape lilimsukumiza mtu aliye-beep tu.
Karibuni nilimsikia Waziri mpya wa sheria akijisifu kwamba amesaidia kutengeneza katiba za mataifa matano. Kuna usanii utaanzishwa karibuni kama ile pipi ya Kikwete ya "Katiba mpya/ tume ya Warioba".
Wapinzani bado hawajaamua kudai tume huru ya uchaguzi, wacha tu CCM iendelee kufanya ujinga wa kuwafanya watanzania wajinga.