jiulize kwanini wanewakosa wabunge wao 4? nini tatizo?
Tatizo act iliyojikita kupambana na wapinzani badala ya ccm
jiulize kwanini wanewakosa wabunge wao 4? nini tatizo?
Kuna dalili za mbatia kufukuzwa uanachama na ubunge wake kuyeyuka
Wewe umejaa chuki na wivu, kazi kufikiria mabaya kwa wenzio, hata akifukuzwa, jimbo litakuwa wazi, atajiunga na CDM na kulichukua, tatizo ni nini, kule ni kilimanjaro bwana!