Act Wazalendo ina Mbunge 1 Zitto Kabwe na madiwani takriban 34 nchi nzima, kumbuka chama hiki ni kimpya hakikuwahi kuwa na mbunge hivyo hawajapoteza chochote kwenye uchaguzi huu.
NCCR-mageuzi walikuwa na wabunge 4 kule mkoani Kigoma na mmoja wa kuteuliwa(James Mbatia) baada ya uchaguzi wamepata mgombea mmoja ambaye ni Mbatia.
Je chama kipi kinafaa kupewa pongezi?
Hongera ACT Wazalendo, mwelekeo wenu ni mzuri sana.
NCCR-mageuzi walikuwa na wabunge 4 kule mkoani Kigoma na mmoja wa kuteuliwa(James Mbatia) baada ya uchaguzi wamepata mgombea mmoja ambaye ni Mbatia.
Je chama kipi kinafaa kupewa pongezi?
Hongera ACT Wazalendo, mwelekeo wenu ni mzuri sana.