UNATAKA GARI AU MKOPO WA GARI??!!!
iko poa njoo inbox
Hizo passo, Vits au Toyota zote ni usafiri sio gari,kwa aliye teyari kuuza gari yake kwa malipo ya taratibu anakaribishwa, yeyote mwenye gari ndogo ndogo vits, passo, stalet n.k tuwasiliane.
Hizo passo, Vits au Toyota zote ni usafiri sio gari,
Magari ni km vw, audi BMW na mengine yanayoendana na hayo!
Daah mkuu bei gani?
Ni PM kama utaipenda.kwa aliye teyari kuuza gari yake kwa malipo ya taratibu anakaribishwa, yeyote mwenye gari ndogo ndogo vits, passo, stalet n.k tuwasiliane.
braza nna passo nichek tuzungumzekwa aliye teyari kuuza gari yake kwa malipo ya taratibu anakaribishwa, yeyote mwenye gari ndogo ndogo vits, passo, stalet n.k tuwasiliane.
Haya yanaitwa ni mashineHizo passo, Vits au Toyota zote ni usafiri sio gari,
Magari ni km vw, audi BMW na mengine yanayoendana na hayo!
Hiyo gari inauzwa full na huyo 'suka' wake? nitalipa fulu bwashee wala sio mkopo.
VITS BEI GANI. 0689913046Ni PM kama utaipenda.