niliangalia zoezi la kuapishwa kupitia TBC 1,mtangazaji wa kike wa tbc aliyekuwepo ktk eneo la kuapishwa alianza kumhoji mheshimiwa balozi hamis kagasheki,mtangazaji alianza kwa kumwambia mheshimiwa pole,na waziri alimjibu ni kweli nastahili pole!i loves that kwa sababu mheshimiwa alitambua kwamba uwaziri wa sasa unahitaji pole kwa kuwa unatakiwa mtu ujitume KWELIKWELI!UKICHEZA KIDOGO NJE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.