Sio homu mkuu ila nlikuwa na shemu wako kule alikuwa ananipenda sana, hii juz nimeiona hii pcha ikabidi nimtafute hewan,akasema kaolewa ila itabidi sku nmfungie safari nkamtafute walau nmkwarue ya kukumbushie coz kanipa kicheko cha maana kwenye simu ingawa ni muda mrefu kidogo,mkuu ule ni mji wa mashujaa sana, sema shda yao kuongoza kwenye ile kitu ilyokosa tiba hata loliondo, kuna kiwinta kule kinachochea sana makwaruano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.