Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Mambo ya Analogia+Digitali , Picha ni mtaa wa Mwembetogwa mkoani Iringa
Kwenu nini mkuu?Mmh napajua hapo mwembetogwa iringa.
Hapana mkuu mambo ya radi ni namanyere-Nkasi Mkoani Rukwa!Mh...jamani hapa sio mambo ya kutengeneza radi kweli!!!
Hiyo bati ni tetanasi tupu!
nyela kukaye kunofu
Hiyo bati ni tetanasi tupu!
Mkuu inavyoonesha hayo ni mambo ya "Mother tongue".Ulipata ngapi 4m Foo? nahisi ulipata ziro ya 50
nyela kukaye kunofu
Vipi tena mbona unanivaa kama chupi yako?Ulipata ngapi 4m Foo? nahisi ulipata ziro ya 50