Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Nasikitika sana kuona tasaf inatoa fedha nyingi katika ujenzi wa madasa pamoja na madawati lakini,hayawezi kudumu miaka kumi.Madarasa mabovu,yapo chini yakiwango.Wanalijua lakini wanalifumbia macho,kwanini msijenge majengo imara kama ya kibiti high,ruvu girls,galanos high n.k