TASAF kumuingiza Wassira Ikulu 2015

TASAF kumuingiza Wassira Ikulu 2015

watu wa Lowasa mko wapi? nafasi yenu ya pili kwenye Urais inaporwa na wasira
 
baadae watakuja kumteua mzee yusuf kuwa mgombea wao katika uchaguzi mkuu ccm majanga kama majanga mengne yanayotokea duniani
RIP CCM 2015.
 
Wassira anazo sifa nyingi za kumfanya kuwa Rais na si TASAF peke yake

1. Uadilifu
2. Uzalendo
3. Uchapakazi
4. Ujasiri
5. Ukweli na uwazi
6. Uzoefu.

something might be wrong in your brain if not, half knowledge will endanger you
 
Hata mkiponda na kutukana matusi makubwa bado haizuii Wassira kuingia Ikulu 2015, ili mueleweke jengeni hoja.
Vijana wa chadema jaribuni kutajirika kiakili.
 
Mzee Wasira is very fine, he deserves every good thing our country can offer including Presidency. We need someone serious to lead our country.
 
Honestly, siafiki kabisa huyo mzee kuwa in the front page ya nchi yetu; he is too urgly (sorry, ni sababu ya kijinga lakini ndio nionavyo).
 
Pato la taifa litapanda madhubuti bcoz hata wale wa msituni watamfata kunako ikulu(wataimarishiwa ulinzi)
 
ccm ikimpitisha wasira ntafikiria kugombea urais hata kupitia TADEA !
 
Wassira anazo sifa nyingi za kumfanya kuwa Rais na si TASAF peke yake

1. Uadilifu
2. Uzalendo
3. Uchapakazi
4. Ujasiri
5. Ukweli na uwazi
6. Uzoefu.
Ahahahaha, uzoefu wa nini, alishawahi kuwa Rais? mimi nilikuwa napita tu.
 
Wassira is a compromise candidate in CCM no matter what you kids talk about, The man is capable,energetic,and intelligent to lead the country.
Wassira gooo you deserve it!

Mwe!!!!
 
Ebu pata picha
Raisi anakuwa Wasira na waziri mkuu anabakia Pinda. What's an image of Tanzania will look
 
Itabidi asisafiri ili watalii waje kwa wingi kumwangalia kabla hawajaenda kuangalia ndugu zake kule kwenye pori la kigoma

Nyie mnaoshambulia sura ya Wassira hebu tuwekeeni picha za BABA zenu ili tuone Kama na wao hawafanani na Wassira. Imekuwa kawaida sana kwa nyinyi Manyani kutoiona NYUMA yenu
 
Back
Top Bottom