Tarura, hii imekaaje uhalali wake?

digalangosha

JF-Expert Member
Aug 30, 2013
1,554
2,265
Habarini wana jamvi,

Kuna kitu nimeona kimekua kama kimeshazoeleka tayari siku hizi; watu wanafunga barabara kwa kigezo cha ibada au sherehe, tena unakuta barabara iliyofungwa ni kwenye maeneo yaliyopo busy sana kwa watu kujiingizia kipato.

Hivi Tarura, mkoa husika ndio huwa mnatoa vibali au hata ninyi hamlijui hilo maana imekua usumbufu sasa na njia zenyewe unakuta ni one-way tu then unafika mbele unakuta watu wameifunga bila hata kuweka sign yeyote mwanzoni.
20190920_131848.jpeg
20190920_131837.jpeg
20190920_131834.jpeg
 
Habarini wana jamvi,
Kuna kitu nimeona kimekua kama kimeshazoeleka tayari siku hizi; watu wanafunga barabara kwa kigezo cha ibada au sherehe, tena unakuta barabara iliyofungwa ni kwenye maeneo yaliyopo busy sana kwa watu kujiingizia kipato.
Hivi Tarura, mkoa husika ndio huwa mnatoa vibali au hata ninyi hamlijui hilo maana imekua usumbufu sasa na njia zenyewe unakuta ni one-way tu then unafika mbele unakuta watu wameifunga bila hata kuweka sign yeyote mwanzoni.View attachment 1234101View attachment 1234102View attachment 1234103
Huko mikoani hakuna shida, Barabara ni yao na imejengwa kwa pesa yao wacha waitumie na wewe ukitaka nenda kajiunge nao.
 
Habarini wana jamvi,

Kuna kitu nimeona kimekua kama kimeshazoeleka tayari siku hizi; watu wanafunga barabara kwa kigezo cha ibada au sherehe, tena unakuta barabara iliyofungwa ni kwenye maeneo yaliyopo busy sana kwa watu kujiingizia kipato.

Hivi Tarura, mkoa husika ndio huwa mnatoa vibali au hata ninyi hamlijui hilo maana imekua usumbufu sasa na njia zenyewe unakuta ni one-way tu then unafika mbele unakuta watu wameifunga bila hata kuweka sign yeyote mwanzoni.View attachment 1234101View attachment 1234102View attachment 1234103


PARIS

1571142786020.png
1571142806082.png
1571142835478.png


LONDON
1571142905129.png

1571142885028.png
1571142979534.png


NEW YORK

1571143046554.png
1571143082587.png



TATIZO WATU WA BARA MMEFIKA DAR NAKUJIFANYA NINYI NDIO WENYE MJI,
YAANI UTOKE HUKO KOROMIJE UJE UTULETEE TAMADUNI ZA HUKO SISI WAZAWA WA HAPA ILALA NA KARIAKOO, EBO
 
Back
Top Bottom