ELFU-ONEIR
Senior Member
- Jun 27, 2012
- 181
- 64
Jamani habari za saa hii? Jamani kuna tetesi zina sema kuwa upulizaji wa tarumbeta husababisha mabusha, je nikweli?
Kama ni kweli nawasikitikia hawa jamaa wa vikundi vya matarumbeta maana mbeleni misuli itawahusu kinomanoma.
Kama ni kweli nawasikitikia hawa jamaa wa vikundi vya matarumbeta maana mbeleni misuli itawahusu kinomanoma.