Naunga mkono hoja, wajita ni wanafiki balaa.Mbona musoma iko chini ya CCM
Chadema waliangukia pua mbunge wake ni Vedastus Mathayo
Mm nawakubali Tarime musoma kuna wajita ni wanafiki sana hawa watu na ndiyo wengi pale
Kule tarime ni kurya people never give up
Mnajidanganya eti mnataka umoja wakati mnatutenga kwa itikadi,wajinga sana nyieKuna tunaoipenda CCM tena sana tu kama Mimi mwenyewe hapa GENTAMYCINE ila tu hatupendi ' Unafiki ' na ' Uwongo ' bali tunataka Siasa na Demokrasia yenye haki, usawa na umoja.
Wamejikomboa kimawazo na fikra na sasa kuanza kuwapuuza maccm walio tutawala kwa miaka zaidi ya 55 lkn hadi leo hii kila kukicha ni afadhali ya janauanachama ni zaidi ya kadi na uzalendo ni zaidi ya chama; tuambie baada ya kuwa Chadema maisha Yao yamepata mabadiliko gani chanya tofauti na hapo awali?
Mama na bibi zako wanaamka alfajiri kwenda kuhemea maji, mahospitalini hakuna dawa, fedha zinaenda kununua madiwani, mnunuaji anapandishwa cheo, kesho kutwa mabilioni ya fedha yanaenda kutumika kwenye uchaguzi wa madiwani kujaza nafasi za walionunuliwa, bado unakenua meno kushangilia CCM? Kwa nini usipimwe mkojo!Mnaizika au mnajizika,chumba kimoja mnawadangany watu tarime nzima chadema
Endeleeni kuota. 2020 kipigo tena Kama kawa Kama dawa. CCM chama baba laoHuo ndio mwanzo wa kuizika ccm
Mkuu hawa majamaa aliye waroga naona alishakufa maana hawajitambui wao kila kitu wanakenua mimeno tuMama na bibi zako wanaamka alfajiri kwenda kuhemea maji, mahospitalini hakuna dawa, fedha zinaenda kununua madiwani, mnunuaji anapandishwa cheo, kesho kutwa mabilioni ya fedha yanaenda kutumika kwenye uchaguzi wa madiwani kujaza nafasi za walionunuliwa, bado unakenua meno kushangilia CCM? Kwa nini usipimwe mkojo!
Sikupangii, zipo pia familia ambazo baba zao ni walevi, kila siku wanalewa wanashindwa kusomesha watoto wala kuwanunulia nguo na mitoto inachekelea tu, inaona hayo ndio maisha wanayostahili!Kila mtu ana maamuz yake huwez kunipangia
Sikupangii, zipo pia familia ambazo baba zao ni walevi, kila siku wanalewa wanashindwa kusomesha watoto wala kuwanunulia nguo na mitoto inachekelea tu, inaona hayo ndio maisha wanayostahili!Kila mtu ana maamuz yake huwez kunipangia
Siasa ni upepo usiotabirika. Usijiaminishe kwa hicho unachosema/unachoandika!Wana jamvi amani iwe kwenu.Hali ya Ccm wilayani Tarime inazidi kudhoofu baada ya wananchi kushuhudia jinsi Ccm inavyo wakumbatia wala rushwa wana Tarime has a kina mama wameamua kukihama Ccm na kujiunga na chama bora barani Afrika CHADEMA,tizameni picha zote hapa chini