tarimemjini
Member
- Jul 10, 2025
- 71
- 142
Juhudi kubwa zimefanyika ili wananchi na wana CCM Tarime kumkubali Esther Matiko lakini zimeshindikana.
Vilanza vitisho toka kwa Mkuu wa Wilaya dhidi ya watu walioandamana kupinga uteuzi wa Esther Matiko ambayo sio chaguo la wana CCM Tarime mjini.
Baadae kikaitwa kikao cha maridhiano kati ya baadhi ya waliokuwa wagombea lakini bado maridhiano yakabaki ya usoni lakini watu wakitoka kwenye kikao bado wanakaza.
Kwa sasa kilichobaki ni makao makuu ya CCM kufanya maridhiano na mgombea wa Act-Wazalendo kwa kumuhonga cheo ndani ya serikali au kwa kumpa pesa watazokubaliana.
Vilanza vitisho toka kwa Mkuu wa Wilaya dhidi ya watu walioandamana kupinga uteuzi wa Esther Matiko ambayo sio chaguo la wana CCM Tarime mjini.
Baadae kikaitwa kikao cha maridhiano kati ya baadhi ya waliokuwa wagombea lakini bado maridhiano yakabaki ya usoni lakini watu wakitoka kwenye kikao bado wanakaza.
Kwa sasa kilichobaki ni makao makuu ya CCM kufanya maridhiano na mgombea wa Act-Wazalendo kwa kumuhonga cheo ndani ya serikali au kwa kumpa pesa watazokubaliana.