Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Wakazi wa mitaa ya Magena Senta, Ketare na Nyamiobo kata ya Nkende katika halmashauri ya mji wa Tarime mkoani Mara wamepatwa na taharuki kutokana na fisi kufukua makaburi na kula mizoga.
Kutokana na taharuki hiyo wananchi katika eneo hilo wameiomba serikali kuwajengea barabara inayoelekea katika makaburi hayo na kuwataka watu wanaokwenda kuzika ndugu zao kwenye makaburi hayo kuchimba makaburi marefu ili kuepusha kadhia hiyo.
Chanzo: ITV
Kutokana na taharuki hiyo wananchi katika eneo hilo wameiomba serikali kuwajengea barabara inayoelekea katika makaburi hayo na kuwataka watu wanaokwenda kuzika ndugu zao kwenye makaburi hayo kuchimba makaburi marefu ili kuepusha kadhia hiyo.
Chanzo: ITV