Tarimba Abass Tarimba...........

Ni tarimba huyu nayemfahamu mimi au ni mwingine tofauti na huyu wa mkwajuni na manyanya kwa ujumla
 

Untouchable is the word i guess ...
 

Mkuu kiinglishi ulichotumiaga hapa kinanikumbushaga kiinglishi cha novo za James Hadley Chase enzi hizooooooo
 
Mkuu hicho ni cheo cha kuajiriwa, Mkurugenzi Mtendaji
Ilitangazwa nafasi akaomba, akasailiwa na akaajiliwa

The question is......udiwani na kazzi full time


bado swali la aliaajiriwa lini halijajibiwa
na Rais gani alimteua?
 
swala kama hilo linamhusu meya wa kinondoni ambaye ni mwajiliwa TRA na wakati huo huo ni meya wa kinondoni
 

Shule ya kutosha ndio ipi?
Acha kukurupuka,
Huyu jamaa alikuwa hana elimu yoyote,amemaliza degree mwaka juzi pale tumaini tena wakati huo alikuwa na cheo hiki hiki!that means aliteuliwa akiwa hana degree

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kahawa na kashata vinahusika hapa! Macho kodo!!
The boss usitafutie watu pressure unadhani kujadiliwa JF mchezo!!
 
Boss kawaulize CCM wenzio. Unashangaa nini hupata majibu kwani tatizo ni lipi? Si ndivyo mnavyo endesha Nchi kuishi kwa patronage?
 
...Hivi wakati fulani huko nyuma si alikuwa ndio mume wa yule muandishi wa habari maarufu wa kitambo wa Daily/Sunday News, Halima Shariff?
 
Du jimbo la Kinondoni kwa Mashombe shombe halijambo!
Hata ilala liindi hayana huruma hii jamii yakifika sehemu hayatoki wala kubanduka yanafanya kila njia yasiondolewe sijui yatakufa lini haya
 
Hii nchi kama haina taratibu kwenye mambo mengine...ndio maana ujanja ujanja unakuwa mwiiingi
 
very good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…