Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,425
Asante sana kwa swali, Kuna tariff T1 ambayo ni kwa ajiri ya wateja wa kawaida (Normal use category) hawa ni wateja wanao tumia umeme kuanzia unit 0 - na kuendelea haina mwisho. Gharama ya umeme kwa wateja hawa ni Tsh. 298 kwa Unit na wanalipia service charge 5520+ 22% ( 22% ni VAT = 18, EWURA - 1% na REA-3%)
Tariff 4 ni kwa ajiri ya low usage customers, hawa matumizi yao kwa mwezi kuanzia unit 0-75. Gharama ya umeme ni Tsh 100 kwa unit bila service charge. Ukiwa upo tariff 4 ukatumia unit zaidi ya 75 zile unit zilizozidi utalipia Tsh 350 + 22% ya VAT.
Mh. Koleba naona kama upo jikoni kutokana na majibu yako mazuri.Nilikuwa sijui kitu. Nakugongea like za mafuriko 😎