Dexaquin
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 230
- 80
Nacte mpo kimya sana hamtoi updates zozote kuhusu kutoa majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na masomo yao katika mwaka wa masomo 2016/2017 kwa ngazi ya stashahada na cheti, wananchi tuwaeleweje, maana mlitoa taarifa kuwa, kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wenu.........mkasogeza kutangaza majina hayo mpaka tarehe 5 sept. 2016, lakin mpaka sasa kwenye website yenu bodo kimya mna maana gani?
Toeni updates bwana acheni hizo!
Toeni updates bwana acheni hizo!