Uchaguzi 2020 Tarehe 28 Oktoba 2020! Kura yako ni kwa Mgombea John Pombe Magufuli kupitia Chama cha mapinduzi (CCM)

Magufuli oyeeee ....tukapige kura nyingi ushindi wa kishindo mamamakeeeeeee..

Machoko ya chadema yanajifanya yanapiga kelel sana humu jf. Na wengi wao hawataki kazi janja janja.
 
Bajeti za Madawa kutoka Billion 34 mpaka sasa Billion 270

80% vijiji vyote vimepata Umeme

Tatizo la Umeme linakwenda kuwa historia kupitia mradi kubwa wa Stigles pale Rufiji ambao utatoa Megewati 2015

SGR itakwenda kuwa mkombozi kwa Nchi zaidi ya nane ambao baadhi yao miaka ya nyuma walitukimbia kwasababu ya ubabaishaji mkubwa Bandarini

Wafanyakazi hewa sasa ni Historia na Serikali kupitia Dr John Pombe Magufuli imekoa billion za kutosha ambazo sasa zinaingia sehemu nyingine
Ubasharifu wa pesa za umma na matumizi mabovu kwa watendaji sasa hakuna tena

Sector ambayo tuliumizwa vibaya ya Madini sasa hivi tumeanza kunufaika nayo na majuzi tu tumepokea Gawio la billion 100 kupitia win win situation

Miundombinu kama barabara sasa hivi Tanzania kunafikika kila eneo

Maji watu wengi wanapata maji safi na salama ingawa kuna changamoto ambazo ziaenda kuisha muda si mrefu

Serikali iko mbioni kupeleka muswada Bungeni ila sasa kila Mtanzania aweze kuwa na Bima ya afya

Elimu bure inaendelea kutolewa na zaidi sasa ni maboresho kama vifaa na stahiki za Walimu ndodondogo ambazo Serikali inazifanyia kazi na zingine tayari zimepatiwa ufumbuzi

Vituo vya afya vinajengwa kwa kasi kubwa kila kijiji na kata ili kumuondolea Mtanzania adha ya kusafiri mbali kutafuta huduma hasa mama zetu

Yako mengine mengi sana ya kumuelezea Dr John Pombe Magufuli kuwa anastahili kuchaguliwa tena na zaidi kupata kura za kishindo tarehe 28 October 2020

Alex FredrickView attachment 1606124View attachment 1606125
Siku zote hizi ulikuwa bado hujaamua umchague nani?.Anyway,kila mtu ashinde mechi zake.Muhimu kura zipigwe na zilindwe bampa to bampa!
 
Magufuli is a country bumpkin!
450908765.jpg
 
Magufuli oyeeee ....tukapige kura nyingi ushindi wa kishindo mamamakeeeeeee..

Machoko ya chadema yanajifanya yanapiga kelel sana humu jf. Na wengi wao hawataki kazi janja janja.
Yaani Magufuli Anashinda Mapema sana
Makelele ya Humu ni Vibendera wenye ID Kumi kumi hawana Lolote
Uwe mzima umpigie kura Lisu
Hata Shetani Atakushangaa
 
Bajeti za Madawa kutoka Billion 34 mpaka sasa Billion 270

80% vijiji vyote vimepata Umeme

Tatizo la Umeme linakwenda kuwa historia kupitia mradi kubwa wa Stigles pale Rufiji ambao utatoa Megewati 2015

SGR itakwenda kuwa mkombozi kwa Nchi zaidi ya nane ambao baadhi yao miaka ya nyuma walitukimbia kwasababu ya ubabaishaji mkubwa Bandarini

Wafanyakazi hewa sasa ni Historia na Serikali kupitia Dr John Pombe Magufuli imekoa billion za kutosha ambazo sasa zinaingia sehemu nyingine
Ubasharifu wa pesa za umma na matumizi mabovu kwa watendaji sasa hakuna tena

Sector ambayo tuliumizwa vibaya ya Madini sasa hivi tumeanza kunufaika nayo na majuzi tu tumepokea Gawio la billion 100 kupitia win win situation

Miundombinu kama barabara sasa hivi Tanzania kunafikika kila eneo

Maji watu wengi wanapata maji safi na salama ingawa kuna changamoto ambazo ziaenda kuisha muda si mrefu

Serikali iko mbioni kupeleka muswada Bungeni ila sasa kila Mtanzania aweze kuwa na Bima ya afya

Elimu bure inaendelea kutolewa na zaidi sasa ni maboresho kama vifaa na stahiki za Walimu ndodondogo ambazo Serikali inazifanyia kazi na zingine tayari zimepatiwa ufumbuzi

Vituo vya afya vinajengwa kwa kasi kubwa kila kijiji na kata ili kumuondolea Mtanzania adha ya kusafiri mbali kutafuta huduma hasa mama zetu

Yako mengine mengi sana ya kumuelezea Dr John Pombe Magufuli kuwa anastahili kuchaguliwa tena na zaidi kupata kura za kishindo tarehe 28 October 2020

Alex FredrickView attachment 1606124View attachment 1606125

Watanzania mkimchagua tena huyu jamaa mtajuta. Na wala siwatishi ila huo ndio ukweli.

Mzee wa mitano tena atawatesa mnoo hakuna mfano.
 
Bajeti za Madawa kutoka Billion 34 mpaka sasa Billion 270

80% vijiji vyote vimepata Umeme

Tatizo la Umeme linakwenda kuwa historia kupitia mradi kubwa wa Stigles pale Rufiji ambao utatoa Megewati 2015

SGR itakwenda kuwa mkombozi kwa Nchi zaidi ya nane ambao baadhi yao miaka ya nyuma walitukimbia kwasababu ya ubabaishaji mkubwa Bandarini

Wafanyakazi hewa sasa ni Historia na Serikali kupitia Dr John Pombe Magufuli imekoa billion za kutosha ambazo sasa zinaingia sehemu nyingine
Ubasharifu wa pesa za umma na matumizi mabovu kwa watendaji sasa hakuna tena

Sector ambayo tuliumizwa vibaya ya Madini sasa hivi tumeanza kunufaika nayo na majuzi tu tumepokea Gawio la billion 100 kupitia win win situation

Miundombinu kama barabara sasa hivi Tanzania kunafikika kila eneo

Maji watu wengi wanapata maji safi na salama ingawa kuna changamoto ambazo ziaenda kuisha muda si mrefu

Serikali iko mbioni kupeleka muswada Bungeni ila sasa kila Mtanzania aweze kuwa na Bima ya afya

Elimu bure inaendelea kutolewa na zaidi sasa ni maboresho kama vifaa na stahiki za Walimu ndodondogo ambazo Serikali inazifanyia kazi na zingine tayari zimepatiwa ufumbuzi

Vituo vya afya vinajengwa kwa kasi kubwa kila kijiji na kata ili kumuondolea Mtanzania adha ya kusafiri mbali kutafuta huduma hasa mama zetu

Yako mengine mengi sana ya kumuelezea Dr John Pombe Magufuli kuwa anastahili kuchaguliwa tena na zaidi kupata kura za kishindo tarehe 28 October 2020

Alex FredrickView attachment 1606124View attachment 1606125
Labda kama nimerogwa!
Niwe mzima hivi kabisa halafu nichague Magufuli? Haiwezekani! Mzee alitujibu kwa nyodo mno hamkumbuki wakati anasema hawezi kubembeleza watu? Sasa leo imekuwaje tena anatubembeleza? Kama anataka kura za wengi agalagale chini wakati anaomba kura!
 
Vijana kukaa humu na kutukana matusi sio suluhisho la matatizo yenu kimsingi ni kumchagua JPM Taifa liweze kusonga mbele
 
Watanzania hawatakula Demokrasia bali wanaitaji Kiongozi mahiri na madhubuti ili aweze kuwaletea maendeleo na kusimamia rasilimali vizuri za Taifa

Lissu kazi hii haiwezi kiukweli hata Mzee wangu Lowassa asingeweza hii kazi
 
Sasa Kama Kichwani upo Sawa Utaachaje Kumpa Kura John Pombe Magufuli!!
Huyu ndiye Rais wa Tanzania mpaka 2025
Usiogope Kelele za Vibendera humu jf
Unashangaza sana wewe kapuku! Hivi mpaka Leo humjui ambaye hayuko sawa kichwani ni nani?
Wasio sawa kichwani ndio wanamchagua huyo?

 
Back
Top Bottom