Tarehe 23/1/2015 harusi yangu

Tarehe 23/1/2015 harusi yangu

msambinungwa

Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
97
Reaction score
17
Heri ya mwaka mpya wapendwa. Napenda kuwakaribisha kwenye harusi yangu kiroho safi, ifikapo tarehe tajwa hapo. Itafanyika Mwanza ukumbi wa bwalo la jeshi. Karibuni sana.
 
heri ya mwaka mpya wapendwa.napenda kuwakaribisha kwenyeshe harusu yangu kirohosafi,ifikapo tarehe tajwa hapo.itafanyika mwanza ukumbi wa bwalo la jeshi.karibuni sana.

Unawowa
 
Hongera, waambie kamati wapunguze budget usije kufunga ndoa ukaishiwa hata ya kuanzia maisha.
 
Mkuu ukumbuke kuchapiwa ni siri ya ndani! Kila la kheri...
 
Naona una mpango wa kukoga maji ya povu ndio mana ukakimbilia Ukumbi wa jeshii.. Any way sio mbaya inaelekea mwenye kiti wa kamati alikuwa ana focus mbele on bajet ya vinywajii ... I ought to be ther nitaingia na ukaribisho wa wakwee
 
Naomba namba ya mkeo nimpongeze
 
Kila la heri Mkuu kwenye harusi yenu mjaliwe njike na ndume zenye afya na akili tele.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom