wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Klabu yenu pendwa ya Simba imepangwa na bingwa mtetezi wa Caf CL, Waidad Casablanca, kwenye robo fainal ya Caf CL.
Kwa wale wasioifahamu vizuri Waidad AC, nawaomba mje kwa Mkapa hapo tarehe 21/04/2023, ili mshuhudie klabu yenu pendwa ikibatizwa kwa moto.
Kile kipigo cha tatu, tatu mlichoshushiwa na Raja Casablanca ni cha mtoto. Siku hiyo ni mwendo wa kumi, kumi. Au niandike kwa kiarabu?
Kwa wale wasioifahamu vizuri Waidad AC, nawaomba mje kwa Mkapa hapo tarehe 21/04/2023, ili mshuhudie klabu yenu pendwa ikibatizwa kwa moto.
Kile kipigo cha tatu, tatu mlichoshushiwa na Raja Casablanca ni cha mtoto. Siku hiyo ni mwendo wa kumi, kumi. Au niandike kwa kiarabu?