Tarehe 1 May iwe siku ya mgomo

Tarehe 1 May iwe siku ya mgomo

kinabhi

Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
18
Reaction score
8
Wadau naamini mu wazina na poleni kwa uchovu wa shamrashamra za sikukuu ya wafanyakazi.

Huwa nashindwa kuelewa pale ninapoona siku hiyo wafanyakazi wanavyokuwa na furaha katika maandamano lakini muda wa risala na hotuba mbalimbali ghafla furaha ukatika na kuanza manung'uniko ooh serikali hiki mara kile.

Ushauri: Bora vyama vya wafanyakazi vikae chini na kukubaliana kuwa vitoe muda kwa serikali itekeleze baadhi ya mambo na 1 may iwe ni siku ya kutoa mrejesho au kutangaza mgomo

Nawasilisha
 
Point yako ni nzuri lkn hapo kwenye mgomo nadhani ingefaa ungeweka mfano kabsaaa kuwa waAnze police afu wengine tufuate
 
Yanini migomo ? Uwajibikaji wetu wenyewe wa viraka viraka - kuwanza tuchape kazi kweli ndio tuweke madai - hakuna cha bure - utapata kutoka na uzalishaji wako
 
Wafanyakazi wenyewe uwajibikaji wao balaa tupu.
We nenda maofisini one urasimu wao na uzembe wao.
Na zaidi imeingai kuchat basi balaaa.
Hakuna Nchi inaweza kukidhi mahitaji ya wafanyakazi wake kama inavyohitajika.
Some risala ya upande wa USA,utajua kwamba hili sio kwetu tu.
We goma halafu uone Graduates wanavyokuja kula nafasi hizo tena kwa nusu mshahara tu.Kuna Hospitali moja Kenya waligoma,basi waziri aliagiza muda huo huo zitangazwe nafasi za kazi,basi siku moja alipata maombi 500.
 
hii SKU alianzishwa kwa ajili ya wafanyakazi kujadili muktadha wao katika mfumo kandamizi Wa kidunia hvyo haina haja ya kushangilia,kualika rais eti mgeni rasmi na kuitana shemej.kama ndo hvyo bora ifutwe.nakubaliana na we we ili hii cku iones,he mgongano Wa kitabaka uliopo siyo kukata tu viuno eti mei mosi
 
​wanaoongoza kwa kuchapa kazi hapa nchini ni ffu...........yaani ka Punda
 
Back
Top Bottom