Hadi Sasa changamoto ambayo nimekutananayo ni kwenye mambo ya kifedha, nimeingia bank 2 tofauti nikiwa na mikataba niliyo win tender ili kuwashawishi wanipatie mkopo ila imeshindikana, wao dhamana wanayohitaji ni Hati ya nyuma nk na sio tender
Hiki ni kikwazo.