Baada ya Peter kumpapasa Husna mwili wake,akawa anamwambia wafanye Malavidavi pale.. husna hakuweza kukubali haraka haraka na badala yake akawa anagoma huku akimwambia Peter kwanin hakumtaarifu mapema Juu ya swala lile,, Peter aliduwaa kimya huku akimtumbulia macho Husna.Husna alizidi kugoma na kumwambia labda wafanye kesho yake!
peter alimbembeleza sana husna wafanye lakini aligoma kabisa.
Peter alikuwa ni mjanja sana,,,,mfukoni alikuwa na shilingi Elfu 1,500 akaamua kumlaghai Husna kuwa amsamehe kwa kuto mtaarifu. peter alimwambia husna "basi me sababu nakupenda ntakukipa elfu 15,000 Kama pesa ya usumbufu, alitoa shilingi elfu Zile 1500 na kumshikisha husna mkononi, zilikuwa ni noti tupu na ndani palikuwa ni giza san kiasi husna hakuweza kugundua kama zilipesa zilikuwa ni 1500 na sio elfu 15000 husna alilainika kabisa baada ya kupewa zile pesa mkononi.. na hatimaye alijikuta wakifanya mambo yetu yaleeeh!
wakiwa katikat ya mechi Peter alipeleka mikono hadi kwenye viganja vya husna na kuzitoa zile pesa......