Tapeli rachel atafutwe

benja

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
331
Reaction score
230
Kuna utapeli unaendelea kwa wale wanaoaply kwazi mtandaoni. kuna mtu anaitwa Rachel yaan siwezi ata kusema mm nikimpata huyu mtu sijui aisee
 
Kuna utapeli unaendelea kwa wale wanaoaply kwazi mtandaoni. kuna mtu anaitwa Rachel yaan siwezi ata kusema mm nikimpata huyu mtu sijui aisee

poleeee, boko anawala wenzie ila yeye haliwi hata siku moja.
 
Me jana yamenikuta ila nliwashtukia,jamaa kanipigia simu anaitwa emanuel john anajida hr barick goldmine anadai nimtumie vyeti vyangu soft copy na nimtumie pesa ya maji ya kunywa,nikamwambia ela sina akitaka anipe kaz then ntampa nikipata mshahara,akakata baada ya muda nikapigiwa na mtu mwingine nae ananambia ndo head of hr akanambia nimepata salam toka kwa hr wa kwanza?nikamwambia sina pesa wakitaka wanipe kaz basi ikaishia hvyo kimyaaaa,tuwe makini jaman matapeli wengi
 
kuna tapeli mwingine anaitwa JOHN MALONDO anatumia email adress hr.haule@rocketmail.com anajifanya anafanya kazi exim bank kama HR msaidizi. Kuweni makini na email adress hiyo.
 
hivi kuna shule ya matapeli siku hizi? mbona wamekuwa wengi sana
 
ni kupitia ujumbe mbalimbali za simu naomba kupaste text niliyoipata leo hii on 30th January 2013 arround 1030hours "Habari, naitwa Rachel From Palmeras Apartments Dar. Nipo kikaoni tunapitia CV tupate majina ya kuinterview for Administration Officer Post, I like your CV na ntakusaidia upate hii kazi kwa sharti lifuatalo. Mshahara ni 1.3million kwa mwezi, ukilipwa mwezi wa kwanza utanipa laki 2.5 for helping you. If you agree, do the following, by saa 11 jion uwe umetuma scanned copy ya veti vyako yo visionafrica@gmail.com na sh. elf 30 by Tigopesa kwenye namba 0713749735 au Mpesa 0759923566 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye e-mail, Nikitoka kikaoni utapigiwa simu lini uje for interview.
 
Hahahaaa...mie wamenitumia hiyo sms jana...nikampigia kwa simu nyingine hapokei....
 
hii inaonyesha ni jinsi gani rushwa ya nchi hii imefika mbali hata soni hakuna tena
 
hii inaonyesha ni jinsi gani rushwa ya nchi hii imefika mbali hata soni hakuna tena

brother, rushwa na ushirikina katika nchi kamwe havitoisha, yaani siku hz ndio inazidi kuwa mbaya hadi wale wanaojiita wasomi hawatimizi mambo yao bila kutoa rushwa au kufanya ushirikina hata km inawezekana kutimiza bila hivyo. Yote kwa sababu ya kutojiamini. Na kupenda shot cut.
 
jaman mimi nilikutana na huyu mtu Habari, naitwa Judy From Polythm Software Dar. Nipo kikaoni tunapitia CV tupate majina ya kuinterview for I.T Personel, I Like your Cv na ntakusaidia upate hii kazi kwa sharti lifuatalo, Mshahara ni 1.5 Million kwa mwezi, ukilipwa mwezi wa kwanza utanipa Sh. Laki 3 for helping you, If you agree do the following, By saa 11 Jioni uwe Umetuma Scaned Copy Ya vyeti Vyako to trevonbon@gmail.com Na Sh. Elfu 30 by M-pesa Namba 0759923566 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye e-mail, Hr Manager Nshampa Elfu 50 Kashakubali, Nikitoka kikaoni utapigiwa simu lini uje for Interview.
 
siku akipatikana huyo ********** zake tumsulubu kweli, anaboa kutumia shida za wengine kujinufaisha
 
Lakini simu si zimesajiliwa?

nilishawahi kusema suala la kusajili simu kwa maoni yangu naona halikuwa na tija kama watu kama huyu Rachel wanasumbua halafu wahusika hawana msaada wowote, its pathetic maana wangekuwa serious huyu mtu angelikuwa kashapatikana
 

hahahaa pole sana ndugu Zoom Tanzania ndio wakulaumiwa wantoa nafasi ya kila mtu kupost upuzi totolucky hope umeni elewa hii kazi ya palmeras niliona zoom nika google kwanza hii ni jina la apartments ziko uk kama sio usa.nka achana nayo nkajua hawa ni washenzi tu.
Siku nyingine rachel akanitumia msg kama alivyo kutumia wewe sema kampuni nyingine.nilicho fanya ni kamwambia achore chini$200000 wagawane wote hapo kwnye mkutani ili ni pit bila kufanyiwa interview.
.ushauri wa bure usitoe hela kisakupata kitu ni rushwa hiyo ,kuwa muadilifu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…