RIP Mzee Mwingira...
Taifa linakukumbuka Kama Moja ya watu wa mwanzo kabisa kuingiza Nchi Chaka kwa kununua....Kivuko kibovu cha kigamboni...kumbe unaishi Huko na zile Ndege Mbofu toka Palestina....mbili zilizoshindwa kuruka Mara tu Baada ya kufika Kia na ingine DAR