Poleni sana wanachama,wapenzi,wakereketwa na wanafamilia kwa kuondokewa na na wanachama wawili na waliowahi kushika uongozi tofauti kimkoa na kitaifa ,wa chama cha mapinduzi,Mzee Makallo na Mzee Kigovya.Mungu awaweke mahali pema peponi,kwa jitihada kubwa za kuendeleza jiji la Tanga na Taiga kwa jumla.