ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Habarini wapenzi marafiki zangu
Tangia nilipopata taarifa hii jana sikuelewa vizuri na wala
sikutambua vyema why why imekuwa hivi jamani
Sitamsahau Lecture wangu Dr. Mvungi kwani ameshatutoka
katika uso huu wa dunia, sitamsahau kwa yake mengi mema
mazuri aliyoyafanya hapa Tanzania.
Najiuliza kwanini watu wema wanaondoka kirahisi rahisi namna
hii? kwanini watu kama hawa wanapotea bila kueleweka nabaki
sina la kusema mwenzenu
Nakumbuka kitabu chake cha Sekondari cha mashairi nimekisahau jina
marafiki nikumbusheni kama mnakijua nanyi. Kweli AMETUTOKA
kipenzi cha wanafunzi wengi hapa Tanzania. Pokeeni Faraja ya Mungu
familia yote aliyoiacha na wanafunzi wote tufarijike kwani ametoa na
ametwaa jina lake lihimdiwe.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MWL DR. S. MVUNGI
Dr. S. Mvungi
Tangia nilipopata taarifa hii jana sikuelewa vizuri na wala
sikutambua vyema why why imekuwa hivi jamani
Sitamsahau Lecture wangu Dr. Mvungi kwani ameshatutoka
katika uso huu wa dunia, sitamsahau kwa yake mengi mema
mazuri aliyoyafanya hapa Tanzania.
Najiuliza kwanini watu wema wanaondoka kirahisi rahisi namna
hii? kwanini watu kama hawa wanapotea bila kueleweka nabaki
sina la kusema mwenzenu
Nakumbuka kitabu chake cha Sekondari cha mashairi nimekisahau jina
marafiki nikumbusheni kama mnakijua nanyi. Kweli AMETUTOKA
kipenzi cha wanafunzi wengi hapa Tanzania. Pokeeni Faraja ya Mungu
familia yote aliyoiacha na wanafunzi wote tufarijike kwani ametoa na
ametwaa jina lake lihimdiwe.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MWL DR. S. MVUNGI
Dr. S. Mvungi