TANZIA: MWILAMBA AFARIKI DUNIA

Huyu mzee anaitwa Titus,alikuwa m/kiti Jumuia ya wafanyabiashara mkoa ruvuma,pia ni mkulima hodari wa mahindi mkoa wa ruvuma,anamiliki jengo la kibiasha/ghorofa/hotel maeneo ya stand kuu ya zamani Songea mjini. Pia anamiliki kiwanda cha kutengeneza mifuko/vifungashio maeneo ya Ruhuwiko Songea,Pia ana magodaun makubwa ya kuhifadhia nafaka maeneo hayo hayo ya ruhuwiko Songea.R.I.P mzee Mwilamba,mzee wa watu
 
Alijitahid kuwekeza nimoja ya mfano wakuigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…