Huyu mzee anaitwa Titus,alikuwa m/kiti Jumuia ya wafanyabiashara mkoa ruvuma,pia ni mkulima hodari wa mahindi mkoa wa ruvuma,anamiliki jengo la kibiasha/ghorofa/hotel maeneo ya stand kuu ya zamani Songea mjini. Pia anamiliki kiwanda cha kutengeneza mifuko/vifungashio maeneo ya Ruhuwiko Songea,Pia ana magodaun makubwa ya kuhifadhia nafaka maeneo hayo hayo ya ruhuwiko Songea.R.I.P mzee Mwilamba,mzee wa watu