Mwenyekiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Brigadier Jenerali Cyril Mhaiki ambaye pia ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki amefariki leo jioni. Updates zaidi zinafuata.
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Brigadier Jenerali Cyril Mhaiki ambaye pia ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki amefariki leo jioni. Updates zaidi zinafuata.