state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Poleni wanaarusha
Duh!! Mwenyezi ampunguzie adhabu ya kaburi
Apumzike kwa amani.
oohh poleni
Raha ya milele umpe eh Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina
Raha ya milele umpe eeh bwana .... Na mwanga wa milele umwangazie ..... Apumzike kwa amani ..... Amina
Kifo hiki kimenitoa machozi sana ila kwa sababu maamuzi ya Mungu hayana kupinda itoshe kusema tangulia mbele ya haki.
Bwana Ametoa Bwana Ametwaa.
Kila msiba una majonzi, nahuenda sie tulio napumzi mpaka sasa tunajipa kiburi hata kushindwa kuitengeneza Amani na Pumziko la.milele ambalo Mungu angetupatia pindi ambapo tutarudi mavumbini.Mungu muumba wa mbigu na Dunia, mpe rafiki yangu pumziko la milele katika shamba la Bwana, Apumzike kwa amani baada ya mateso na taabu ya ulimwengu huu ambapo sisi ni wachafuzi kila kukicha Bwana wetu
Filipo,
MKUUU UBARIKIWE SANA KWA TAARIFA UNGEWEKA NA NAMBA ZA WAHUSIKA MWENYE RAMBI RAMBI ATUME HOPE ZIWE SAHIHII....
NIMEKUWA NIKIWAZA MBONAAA ATUPEANI POLE MNS AWA MEMBER WA JF WOTE N WAZIMA
NAAMIN UMEKUWA MFANO JAMAN TUKISIKIA MEMBER KAFA TUPEANE TARIFA TUSHIRIKIANE USIZIKE KIMYA KIMYA NJIYA YA WOTE ...
He was loved by many people.
Please mtujuze Msiba upo wapi hasa tukazike
Mpango wetu wa tarehe 5 jamani....
TLG poleni sana.....Alikuwa active member....