TANZIA: Mwanachama na mshabiki nguli wa Simba SC, Fii Kambi amefariki Dunia

Dr Simba

JF-Expert Member
Apr 27, 2016
997
1,241
Mwanachama na mshabiki Nguli wa Simba sports club,Fii kambi Amefariki Dunia Khafra Akiwa Nyumbani kwake Magomeni Leo hii....innalillah wainalillah rajiun!!!!
ea5b723d2cfec85834cefbcd3944038b.jpg
 
R.I.P pia mwanachama mwingine RAY KALAMA mstaafu wa f.f.u .ukonga amefariki jana tarehe 17_12_2017 kwao Zanzibar.mungu ampumzishe peponi.AMEN.
 
Back
Top Bottom